Simba SC nawasihi sana tulizeni Vichwa vyenu kwa Sajili za Dirisha hili Dogo

Simba SC nawasihi sana tulizeni Vichwa vyenu kwa Sajili za Dirisha hili Dogo

Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Saido sio garasha
 
Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.

Uaani Nikitaka Nianzishe thread ya huyu Mwamba Eti Saidoo..
umeniwahi..
Hivi Simba wana Mdudu gani Kichwani???
Au ndio Kuchanganyikiwa??
Hebu Tuangalie huyo Jamaa Kafanya Nini cha Ajabu Kwenye Soka Hapa Bongo??’Hamna!
Yaani Mtu akisifiwa sana na Yanga basi Simba wanaona Ni lulu!
Yaani Hata Kama wanataka Cheap,But not that one.
daaa Nimeshangaa sana sanaa Aiseee[emoji30][emoji15]
Unaposajili Mchezaji angalia
1.Umri unde 30.
2.Takwimu sahihi za Ubora kama ni Mshambuliaji kafunga mangapi?
3.Mchango ktk Timu yake
4.Thamani yake
huyo bwana ni zero tuu
Au Wamebabaika na Kusemwa sana na vyombo vya habari
ila Simbaaaa Wanaudhi…Wanajishusha sanaa basi tuu
 
Ameshaanza kazi,mpira ni mchezo wa wazi,Energy alonayo Saidoo ni kubwa kuliko hao mnaowataka...Tatu
 
Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Huna akili boya wewe
 
Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
We ni popoma aibu umeiona sio
 
... GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Sawa 😆

1672529012515.png
...
1672529199506.png
 
... GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.

1672529630213.png
 
... GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Okay 😆😆😆
1672529762393.png
 
Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Mini ninadhani kuwa usajiri ndani ya Simba inandeshwa kwa nguvu ya watu wachache tu. Hawasikilizi bwnchi la unfundi hata kidogo. Wakati kocha mspaniola alipoona kuwa Chama hana spidi aliyokuwa akitaka yeye kwenye squad yake, akalaumiwa hadi kufukuzwa.
 
Nchi hii ina wajuaji hatari, yan kila mtu anaujua mpira. kuucheza, kuchambua, Yan wanawazidi viongozi kila kitu.
 
Jaman mchezaji katia tatu kambani mechi ya kwanza tu mnasema hafai
 
Hatimae Ntibanzokiza kawaziba midomo wajuaji wasiojua lolote kwenye kabumbu
 
Hatimae Ntibanzokiza kawaziba midomo wajuaji wasiojua lolote kwenye kabumbu

Bado sana ameongeza idadi ya wazee [emoji881]
Muda ni jibu sahihi tuendelee kusubiri
 
Back
Top Bottom