Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Saido sio garashaNauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Saido atatusaidia sana ni usajili bora kwa dirisha hili mpaka sass
Hahahaha!Kweli kabisaView attachment 2458758
Huna akili boya weweNauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Umesahau kabisa alivyo watesa Wa Angola kwao. Kimataifa.Hata uyo okrah sijawahi kumwelewa kivile anakimbia kimbia tu uwanjani ni mchezaji machachari ila hana hatari yoyote
We ni popoma aibu umeiona sioNauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Mechi au mbili hazitoshi kutoa hitimisho la uzi ,subiri angalau mechi 7 muda ni mwalimu mzuri.We ni popoma aibu umeiona sio
Sawa π... GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
... GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Okay πππ... GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Mini ninadhani kuwa usajiri ndani ya Simba inandeshwa kwa nguvu ya watu wachache tu. Hawasikilizi bwnchi la unfundi hata kidogo. Wakati kocha mspaniola alipoona kuwa Chama hana spidi aliyokuwa akitaka yeye kwenye squad yake, akalaumiwa hadi kufukuzwa.Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Hizo assist 7 kwan kazipata kwenye mechi 2??Mechi au mbili hazitoshi kutoa hitimisho la uzi ,subiri angalau mechi 7 muda ni mwalimu mzuri.
Hatimae Ntibanzokiza kawaziba midomo wajuaji wasiojua lolote kwenye kabumbu