Simba SC 'tumezubaa' sana, 'tunakomolewa' huku Yanga SC ikitumia mwanya huu 'Kujiimarisha' 'zaidi 'Kimkakati' ili kuwa 'Mabingwa wa NBC Premier League

Nikipewa hilo Jukumu kisha nikapewa Kassim Dewji, Juma Nkamia, Crescetius Magori, Idi Kajuna, Mwina Kaduguda na Hassan Hasanoo Yanga SC akiwa Bingwa mwaka huu njooni Mnichije.
namuongeze mulamu ng'ambi hapo
 
Acha kulalama, timu yako mbovu tu. Ulishindwaje pale kwa Mbeya City wakiwa pungufu zaidi ya 50 minutes. Utajua hujui.
kuwa na adabu we chura, simba sio team mbovu, bali ni team nzuri inayohitaji marekebisho kidogo ili iwe bora.
 
duh ,najuaga godfrey ni simba damu.kumbe sio?
basi wampe jukumu KD
Mkuu unaamini maneno ya huyu msema ovyo? Aliwahi kusema Kwa kujiamini kabisa kwamba eti Dk Tulia alisoma nje ya nchi kuanzia chekechea Hadi chuo kikuu...

Haya maneno anayo post haoa Ni maneno ambayo ameyasikia kwenye kijiwe cha mshona viatu kilichopo kwao Bunda mjini mkoani Mara karibu na shule anayo fundishia..





 
Hata mm Hilo nimeliona kitendo Cha mwanadad Yule barbarita kuvimba na viongozi wa tpl na tff niliona adhari zake kwa simba indirectly nikiwawambia washabik wa simba wakaniona Kama nachanganyikiwa kwa vile niliwambia ukweli kuwa mpira na siasa za nchi hi Ni za kukomoana tu .mm Ni yanga damu damu nanufaika San na mgogoro wa simba na body ya ligi na ninaomba usiishe had mwandada Yule barbarita kuomba POooo na wakubali mashri za tff na tpbl
 
Mhindi wenu wa kuwapa fedha kajisogeza pembeni na hamna ujanja wa kupata pesa sehemu nyingine
 
Sasa simba walipenya vipi kimataifa, nako walikua wanahonga na uchawi??

Hayo kibongo bongo yapo ila ukiwa na kikosi kibovu lazma uumie tu.
Hiyo 5% ni uongo mtupu, mbona tunaona jinsi hizi timu 2 zikiwa form zinavyotandaza soka safi au ni kiini macho kile.??
 
Umafia uendane na kikosi imara ,Sasa umafia kwa fowards Kama kina Bocco na Mugalu!!
Embu mutuache kidogo ,huu msimu tukubali tumeshapoteza hakuna Cha umafia Wala Nini.
CEO wetu hawez pambana na Karia japo Karia Ni Simba damu ila atataka tu amuonyeshe kuwa yeye Ni mwanaume hakojoi akiwa amechuchumaa Kama ilivyo kwa Babra.
Kitendo Cha mbungi kupelekwa manungu Ni moja ya mikakati ,ili Babra aweze shinda hii Vita alipaswa aingie sokoni dirisha dogo kutafuta wachezaji wa maana wa kupambana kiume sio Kama hao mdebedo akina bocco na mugalu .
Mpaka hapa CEO ashapigwa KO hata angefanya umafia gani lakin Hana siraha za maangamiz pale mbele .
GSM Ni mzee wa Msoga huyo Galib sijui injinia Ni chawa tu so Babra Ni mtoto mdogo Sana Kama Msoga akiamua akufanyie fitna na inaonekana kweli Hilo lipo Msoga kakataa hii dharau ya kuzidi akili na Simba miaka minne mfululizo kaingia Kati mwenyew ,nan wa kuruka ? Awe Karia akikarishwa chini atatii tu maelekezo na kibaya Zaid CEO kamtibua basi anachanganya na hasira Mambo yakua km yalivyo.

Ubahil na kuwaonea aibu wachezaji waliochoka ndicho kinaenda kuimaliza Simba huu msimu ,na tusifichane naziona game Kama tatu au nne huko mbelen Simba atapoteza pia .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…