Simba Sc tuna mengi ya kujifunza kutoka Yanga

Simba Sc tuna mengi ya kujifunza kutoka Yanga

Kwanza nikiri kwamba nitazungumza bila unafiki na kwa nia ya dhati kabisa naomba nitoe mtazamo wangu kwamba tukiwa kama moja ya klabu inayokuja kwa kasi nadhani wanasimba tuna mengi ya kujifuñza kutoka kwa watani zetu Young Africans wanaofanya vizuri nyumbani na kimataifa.

1.Mpira ni uwekezaji
Wenzetu wamewekeza vyema kwa kununua wachezaji mahiri na kocha makini na ndiyo sababu wanafanya vyema katika michuano ya nje na ndani.

2.Mpira si uchawi
Hua nakereka sana kuona katika karne hii ya 21 bado tunaamini katika ushirikina jambo linalotuangusha sana na kuwafanya wenzetu wawe bora zaidi yetu, Kwani mpira umebadilika!

3.Tujikite katika kutafuta vikombe na mataji sio sifa
Kila siku klabu yetu ni kelele tupu mitandaoni na kupeana vichwa lakini ukiuliza tuna makombe/mataji mangapi? Hakuna! Taji ni kuifunga Yanga/Wydad 😄 hii ni aibu, tofauti na Yanga wanaopambana kwa malengo ya kutwaa ubingwa

4.Yanga anaongoza kwa kila kitu dhidi yetu, Amechukua ubingwa Ligi kuu mara nyingi zaidi yetu, Bado anaongoza ligi,Ameongoza kundi lake CAF,amechukua vikombe vyote vya ndani wakati huo tukipongezana kuwafunga watanì 😄

5. Nitarudi kuendelea..........

Guvu moya
Bado unaweweseka na viwili vya Kibu D na Inonga.Simba imechukua miaka 4 mfululizo na FA 2 na quarter finals za michuano ya Africa mara 4.Wameongoza kundi alilokuwepo Al Ahly.
Baada ya miaka 30 ndio mmefanikiwa kuingia losers Cup baada ya kuvurumushwa Champions League. Tuige ujinga?
 
Kwanza nikiri kwamba nitazungumza bila unafiki na kwa nia ya dhati kabisa naomba nitoe mtazamo wangu kwamba tukiwa kama moja ya klabu inayokuja kwa kasi nadhani wanasimba tuna mengi ya kujifuñza kutoka kwa watani zetu Young Africans wanaofanya vizuri nyumbani na kimataifa.

1.Mpira ni uwekezaji
Wenzetu wamewekeza vyema kwa kununua wachezaji mahiri na kocha makini na ndiyo sababu wanafanya vyema katika michuano ya nje na ndani.

2.Mpira si uchawi
Hua nakereka sana kuona katika karne hii ya 21 bado tunaamini katika ushirikina jambo linalotuangusha sana na kuwafanya wenzetu wawe bora zaidi yetu, Kwani mpira umebadilika!

3.Tujikite katika kutafuta vikombe na mataji sio sifa
Kila siku klabu yetu ni kelele tupu mitandaoni na kupeana vichwa lakini ukiuliza tuna makombe/mataji mangapi? Hakuna! Taji ni kuifunga Yanga/Wydad 😄 hii ni aibu, tofauti na Yanga wanaopambana kwa malengo ya kutwaa ubingwa

4.Yanga anaongoza kwa kila kitu dhidi yetu, Amechukua ubingwa Ligi kuu mara nyingi zaidi yetu, Bado anaongoza ligi,Ameongoza kundi lake CAF,amechukua vikombe vyote vya ndani wakati huo tukipongezana kuwafunga watanì 😄

5. Nitarudi kuendelea..........

Guvu moya
Hata usiporudi 😄😄😄
 
Kwanza nikiri kwamba nitazungumza bila unafiki na kwa nia ya dhati kabisa naomba nitoe mtazamo wangu kwamba tukiwa kama moja ya klabu inayokuja kwa kasi nadhani wanasimba tuna mengi ya kujifuñza kutoka kwa watani zetu Young Africans wanaofanya vizuri nyumbani na kimataifa.

1.Mpira ni uwekezaji
Wenzetu wamewekeza vyema kwa kununua wachezaji mahiri na kocha makini na ndiyo sababu wanafanya vyema katika michuano ya nje na ndani.

2.Mpira si uchawi
Hua nakereka sana kuona katika karne hii ya 21 bado tunaamini katika ushirikina jambo linalotuangusha sana na kuwafanya wenzetu wawe bora zaidi yetu, Kwani mpira umebadilika!

3.Tujikite katika kutafuta vikombe na mataji sio sifa
Kila siku klabu yetu ni kelele tupu mitandaoni na kupeana vichwa lakini ukiuliza tuna makombe/mataji mangapi? Hakuna! Taji ni kuifunga Yanga/Wydad [emoji1] hii ni aibu, tofauti na Yanga wanaopambana kwa malengo ya kutwaa ubingwa

4.Yanga anaongoza kwa kila kitu dhidi yetu, Amechukua ubingwa Ligi kuu mara nyingi zaidi yetu, Bado anaongoza ligi,Ameongoza kundi lake CAF,amechukua vikombe vyote vya ndani wakati huo tukipongezana kuwafunga watanì [emoji1]

5. Nitarudi kuendelea..........

Guvu moya

Simba kamfunga Yanga Juzi tu! Nyanga yuko
Daraja la pili la CAF wakati Simba wako Daraja la Kwanza CAF. Nani wa kujifunza kwa mwenzake?
 
Naunga mkono hoja, Chama yupo slow sana kufanya maamuzi, tofauti na mtu kama Bakari Nondo.Baleke ndiyo kabisa bila mipira ya kubahatisha hakuna kitu, huwezi mlinganisha na mtu kama Moloko pale Yanga, kuanzia kimbinu kiuchezaji morali yaani kiufupi Sioni Simba tukishinda huko ugenini tungeweza tungemuazima hata Mayele lakini ndiyo hivyo tena, Haiwezekani.
 
Kwanza nikiri kwamba nitazungumza bila unafiki na kwa nia ya dhati kabisa naomba nitoe mtazamo wangu kwamba tukiwa kama moja ya klabu inayokuja kwa kasi nadhani wanasimba tuna mengi ya kujifuñza kutoka kwa watani zetu Young Africans wanaofanya vizuri nyumbani na kimataifa.

1.Mpira ni uwekezaji
Wenzetu wamewekeza vyema kwa kununua wachezaji mahiri na kocha makini na ndiyo sababu wanafanya vyema katika michuano ya nje na ndani.

2.Mpira si uchawi
Hua nakereka sana kuona katika karne hii ya 21 bado tunaamini katika ushirikina jambo linalotuangusha sana na kuwafanya wenzetu wawe bora zaidi yetu, Kwani mpira umebadilika!

3.Tujikite katika kutafuta vikombe na mataji sio sifa
Kila siku klabu yetu ni kelele tupu mitandaoni na kupeana vichwa lakini ukiuliza tuna makombe/mataji mangapi? Hakuna! Taji ni kuifunga Yanga/Wydad 😄 hii ni aibu, tofauti na Yanga wanaopambana kwa malengo ya kutwaa ubingwa

4.Yanga anaongoza kwa kila kitu dhidi yetu, Amechukua ubingwa Ligi kuu mara nyingi zaidi yetu, Bado anaongoza ligi,Ameongoza kundi lake CAF,amechukua vikombe vyote vya ndani wakati huo tukipongezana kuwafunga watanì 😄

5. Nitarudi kuendelea..........

Guvu moya
Subiri vichwa maji yaje kukuparua
 
Kwanza nikiri kwamba nitazungumza bila unafiki na kwa nia ya dhati kabisa naomba nitoe mtazamo wangu kwamba tukiwa kama moja ya klabu inayokuja kwa kasi nadhani wanasimba tuna mengi ya kujifuñza kutoka kwa watani zetu Young Africans wanaofanya vizuri nyumbani na kimataifa.

1.Mpira ni uwekezaji
Wenzetu wamewekeza vyema kwa kununua wachezaji mahiri na kocha makini na ndiyo sababu wanafanya vyema katika michuano ya nje na ndani.

2.Mpira si uchawi
Hua nakereka sana kuona katika karne hii ya 21 bado tunaamini katika ushirikina jambo linalotuangusha sana na kuwafanya wenzetu wawe bora zaidi yetu, Kwani mpira umebadilika!

3.Tujikite katika kutafuta vikombe na mataji sio sifa
Kila siku klabu yetu ni kelele tupu mitandaoni na kupeana vichwa lakini ukiuliza tuna makombe/mataji mangapi? Hakuna! Taji ni kuifunga Yanga/Wydad [emoji1] hii ni aibu, tofauti na Yanga wanaopambana kwa malengo ya kutwaa ubingwa

4.Yanga anaongoza kwa kila kitu dhidi yetu, Amechukua ubingwa Ligi kuu mara nyingi zaidi yetu, Bado anaongoza ligi,Ameongoza kundi lake CAF,amechukua vikombe vyote vya ndani wakati huo tukipongezana kuwafunga watanì [emoji1]

5. Nitarudi kuendelea..........

Guvu moya

Acha kuongea sana ; wakati mwingine Mpira ni Bahati; Yanga ame pata bahati ya kupata njia Rahisi. Path yake ni rahisi

Mfano angekutana na timu kama
Orlando pirate , Pyramids ndio ungejua Yanga haina ubora unaoongelea .

Kama aliweza kutolewa na alhilal kirahisi tu ; kubali kuwa still
Yanga inahitaji kujifunza
 
Matusi na kelele za mikia mwisho ijumaa watakandwa wiki (7-0) na kukaa kimyaaa, baada ya hasira kupungua wataanza kuangalia mechi za Yanga kumalizia ligi kwa kubeba kombe na mechi za Yanga nusu fainali Shirikisho Sasa hapo wataanza Fujo za kung'oa viti uwanja wa Taifa na kudai wapewe mikeka kukalia na hasira zikiwajaa wataanza kutaka makocha, Mo , Ahmed Ally na wachezaji wazee kina Kibu, Babu Onyango na mwanae Bocco waondoke!!

Simba ni kenge anaesindikiza mamba kwenye klabu bingwa!

Debe tupu fc haliachi kuvuma!!
 
Acha kuongea sana ; wakati mwingine Mpira ni Bahati; Yanga ame pata bahati ya kupata njia Rahisi. Path yake ni rahisi

Mfano angekutana na timu kama
Orlando pirate , Pyramids ndio ungejua Yanga haina ubora unaoongelea .

Kama aliweza kutolewa na alhilal kirahisi tu ; kubali kuwa still
Yanga inahitaji kujifunza
Yani wewe unaona Orlando pirates ambao hawajafuzu ndio timu hatari kuliko hawa akina Rivers waliofika robo fainali? Akili ya wapi hii?

Kweli sisi makolo ni mbumbumbu!
 
Bila shaka umetumia mechi za yanda dhidi ya rivers na dhidi ya mazembe kusema simba ana la kujifunza kwa ynaga; ni vema kwa kuwa umeliona hilo lakini jiulize yafuatayo

1. Yanga kaongoza kundi akiwa na monastir aliyetolewa na ahly CAFCL, alikuwa na mazembe aliyetolewa na vipers CAFCL, na alikuwa na bamako mgeni wa makundi. Sasa angalia mbabe wa mazembe CAFCL kafanywa nin na simba? ukiachana na yangawenyewe aliyetolewa na al hilal CAFCL

2. Robo fainal yanga kashinda ugenin dhidi ya rivers aliyetolewa CAFCL na wydad AC. Hapo ndo unagundua kuwa kwa kigezo cha kuongoza kundi, karibia wote ni loosers wa CAFCL na kwa kigezo cha kushinda ugenini ni kutokana na udhaifu wa timu hizo (kwa sasa)

3. Simba robo fainal alitakiwa akutane na mmoja kati ya Wydad, Mamelod au Esperence, hawa wote wako ndani ya vilabu bora vitano africa na akaangukia kwa wydad ambaye ni wa pil kwa ubora afrika, ulitegemea simba ashinde kama yanga alomfunga rivers aliyeko nafas ya 31?

Yanga amewekeza kwa kias chake na sidhani kama kamzid simba maana hata mashindano wanayoshiriki hawa wawili ni tofauti na ndio maana simba akiishia robo alaf yanga akaishia nusu fainal ndipo watakuwa wamevuna point sawa CAF kwa msimu huu

Kwa taarifa yako, kombe la shirikisho lina ahueni na linatoa fursa ya kusogea mbele zaidi lakini CAFCL kuna hatua ukifika utakwama tu maana akina Wydad, Ahly, Raja na Esperence bado vilabu vingine vya afrika havijafika hatua ya kushindana nao kisoka akiwemo huyoamelod lakin shirikisho yeyote anatoboa ndio maana akina pyramids hawatak CAFCL badala yake wanakomaa na CAFCC ili wapate ubingwa kirahs wakijua kuwa CAFCL ina wenyewe
 
Jwaneng galaxy alikuw bora, mbona hukupita....
Acha kuongea sana ; wakati mwingine Mpira ni Bahati; Yanga ame pata bahati ya kupata njia Rahisi. Path yake ni rahisi

Mfano angekutana na timu kama
Orlando pirate , Pyramids ndio ungejua Yanga haina ubora unaoongelea .

Kama aliweza kutolewa na alhilal kirahisi tu ; kubali kuwa still
Yanga inahitaji kujifunza
Mtulie yanga yuko vizuri, na ana anawaza ubingwa wa shirikisho ambao wewe ulikushinda mwaka jana.
nafikiri tusiongee sana yanga yupo kwenye increasing rate na huku simba yupo kwenye decreasing rate, mwakani hamuingii robo na mtazidi kushuka viwango mpaka MO ajirekebishe
 
Kwanza nikiri kwamba nitazungumza bila unafiki na kwa nia ya dhati kabisa naomba nitoe mtazamo wangu kwamba tukiwa kama moja ya klabu inayokuja kwa kasi nadhani wanasimba tuna mengi ya kujifuñza kutoka kwa watani zetu Young Africans wanaofanya vizuri nyumbani na kimataifa.

1.Mpira ni uwekezaji
Wenzetu wamewekeza vyema kwa kununua wachezaji mahiri na kocha makini na ndiyo sababu wanafanya vyema katika michuano ya nje na ndani.

2.Mpira si uchawi
Hua nakereka sana kuona katika karne hii ya 21 bado tunaamini katika ushirikina jambo linalotuangusha sana na kuwafanya wenzetu wawe bora zaidi yetu, Kwani mpira umebadilika!

3.Tujikite katika kutafuta vikombe na mataji sio sifa
Kila siku klabu yetu ni kelele tupu mitandaoni na kupeana vichwa lakini ukiuliza tuna makombe/mataji mangapi? Hakuna! Taji ni kuifunga Yanga/Wydad [emoji1] hii ni aibu, tofauti na Yanga wanaopambana kwa malengo ya kutwaa ubingwa

4.Yanga anaongoza kwa kila kitu dhidi yetu, Amechukua ubingwa Ligi kuu mara nyingi zaidi yetu, Bado anaongoza ligi,Ameongoza kundi lake CAF,amechukua vikombe vyote vya ndani wakati huo tukipongezana kuwafunga watanì [emoji1]

5. Nitarudi kuendelea..........

Guvu moya
YANGA mpk sasa kakutana na timu gan ya maana huko CAF? level za Al Ahyl na Wydad , subir apangiwe mtu mwenye akili sio almighty Tp Mazembe ambae hata kushinda kwake mechi 3 kashindwa
 
Jikite kwenye hoja je! Katika aliyo ongea Kuna alilo ongopa?
timi gan ya maana Yanga kakutana nayo huko CAF ? muwe wavumiliv tu labda awe na njia nzur ila hao wakija Pyramids kama akikutana nao bas analala nje ndan
 
Yanga hii hii tulikuwa nao Klabu bingwa wakashushwa kwenda Shirikisho?

Hebu kuwa serious hatuna cha kujifunza kutoka Yanga.

Kipindi anachopitia Simba ni kawaida katika ulimwengu wa soka.

Klabu nyingi hata mbele huko huwa zinapitia kipindi kama hichi cha Simba mfano Barça, Man U, Liverpool, Chelsea, Juventus
 
Matusi na kelele za mikia mwisho ijumaa watakandwa wiki (7-0) na kukaa kimyaaa, baada ya hasira kupungua wataanza kuangalia mechi za Yanga kumalizia ligi kwa kubeba kombe na mechi za Yanga nusu fainali Shirikisho Sasa hapo wataanza Fujo za kung'oa viti uwanja wa Taifa na kudai wapewe mikeka kukalia na hasira zikiwajaa wataanza kutaka makocha, Mo , Ahmed Ally na wachezaji wazee kina Kibu, Babu Onyango na mwanae Bocco waondoke!!

Simba ni kenge anaesindikiza mamba kwenye klabu bingwa!

Debe tupu fc haliachi kuvuma!!
Dah povu la Inonga na Kibu D.Kunywa maji kaa dakika 2 isiposaidia nunua kamba kwa Mangi nitalipa.
 
Back
Top Bottom