Simba Sc tuna mengi ya kujifunza kutoka Yanga

Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
 
Reactions: Tui
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Reactions: Tui
Mkuu angalia sana afya Yako Simba hii ni mbovu kabisa ila Bado mnalazimisha ukubwa, kuwa makini unaweza kupata magonjwa ya Moyo! Ijumaa Mkishakandwa week (7-0) na Wydad na kutolewa mashindano ya klabu bingwa CAF utapata hisia kuwa Simba ni debe tupu linalovuma sana na wala si timu ya mpira bali genge tu la mashabiki mbumbumbu na viongozi wahuni! Ijumaa mtaumaliza mwendo na Kwa uwazi kabisa mtaona mmevuna mabua msimu huu , uwekezaji mkubwa Mbet umepoteza pesa nyingi bure kwa timu kushindana bila kupata kombe hata la kugombea kuku!! Samahani yakhe nimekumbuka Ami yangu mna Mapinduzi cup ATI !!

Ijumaa hii baada ya Simba kukandwa week (7-0) na Wydad, Msimbazi hapatakalika, Simba mtafukuza makocha, wachezaji, mashabiki, madaktari wa timu, hasira zikizidi mtaenda Lupaso mtango'a viti uwanja mzima na kuomba TFF mletewe mikeka, baadae mtafukuza hadi Rais wa heshima, mtafukuza msemaji, mtakataa hadi chama tawala na Bimkubwa, Kila kitu kitakuwa kibaya!! Utazuka ugomvi mkubwa! Moto mkubwa utawaka!

Haya njoo sasa huku utopoloni, Sisi Yanga Eng Hersi jeshi la mtu mmoja General wa soka amesema juzikati ligi yoyote hata ya kufukuza kuku au kugombea mbuzi Yanga tukiingia tunapambania kombe tu sisi hatuweki kichwani mawazo ya kijinga sijui ya tunacheza na wakubwa basi tuishie robo fainali, Yanga tukitolewa kwenye ligi yoyote na timu yoyote iwe Lipuli, Faru Dume, Abajalo, Brazil, Bayern Munich, Al Hilal, Denmark, Manchester City au hata iwe AS Vita tunarudi home tunajipanga, ukitufunga poa tu tunajipanga upya si utarudi kwenye 18 tutakubutua tu, yaani hii Yanga ya Sasa ni chuo kikuu Cha mpira!
 
Dah povu la Inonga na Kibu D.Kunywa maji kaa dakika 2 isiposaidia nunua kamba kwa Mangi nitalipa.
Simba tumeipiga kwenye ligi kama ngoma tangu 2019.

Juzikati mikia mmeshinda kwa mizengwe , kona isiyo halali ( wapi VAR) kona iliyopigwa bila filimbi ya Refa , Kona iliyopigwa kwa kuvizia wachezaji wa Yanga hawajajipanga!! Goli likawatoa Yanga mchezoni maana tunajua kwenye Derby ya kkoo Simba ni underdog!!huu ni ukweli mchungu! Yanga ikishinda ni kawaida , Simba ikishinda Watu wanapigwa na butwaa!!

Simba mnajua hamna msuli kuifunga Yanga kihalali bila makandokando!!

Nyie ushindi wa hila mmeshangilia kwa nguvu zote mkalewa hadi wengine wakapasuka kwa ajali za Barabarani, wanasimba wengi wanatibiwa na magari yako gereji yakinyooshwa na kuthibitisha ule msemo " maskini akipata ma... hulia mbwata"!

Msimu huu mna kombe moja tu la kuifunga Yanga!🤪
 
Kwanini nyani wa pori la utopolo mnapenda sana kujiita Simba? Pambaneni na hali yenu,hapo mnajiona kama ndiyo mumeshachukua hilo kombe lenu la mbuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…