Simba sc vs libolo!

Simba sc vs libolo!

Hawa wawakilishi wetu wa mwaka huu bure kabisa
 
Kaka achana kabisa na hao raia uliowataja...usiwafananishe na hii misukule sijui Boban, Ngassa n.k

Kwa hakika simba ninayoifahamu sio ile ya akina Mohamed Mwameja,Madaraka Seleman,Abdul Mashine na wengineo.hii timu tangu akabidhiwe huyu msomali bure kabisa.
 
Wamlipe baba wa watu hela yake. Eti watamuwekea benki! Kuna tofauti gani na kumpa hundi. Acha li..ro liwachome
 
hata mimi nashangaa!yaani Azam jana wameonyeshwa kupitia starTV wao hata clouds tu wameshindwa!!!

Yataka moyo na akili kama ya mwendawazimu kuonyesha hadharani dhahma,dhoruba na kashkash za LIBOLO
 
Mipira yetu ya magazetini hii, haya ndio matokeo yake haya...Mwenyekiti wenu kutwa kugombea bendera ya Chama...
 
Wamlipe baba wa watu hela yake. Eti watamuwekea benki! Kuna tofauti gani na kumpa hundi. Acha li..ro liwachome
Wamezidi kudhurumu,walimdhurumu Phiri,wakam'dhurumu Basena kabla hawajaamua kumlipa kwa kumpa u'kocha msaidizi,wakaidhurumu familia ya Marehemu Mafisango(RIP) na sasa wanataka kumdhurumu Milovan, dhurumati wakubwa hawa.
 
Amir Maftah anajiandaa kuingia...

Ngassa anafanya machejo, wanaokoa...
 
Li'boro noma....goli 1 tayari mimba,hatari!
 
Hahahah eti wanamtoa Mudde halafu anaingia Maftah ili Kapombe arudi pale kati...hawa vipi!!!!
 
Back
Top Bottom