Simba sc vs libolo!

Hispanian kitu gani........mbona walikuja Cameroon juzi kati, nini walifanywa na Simba SC
 
mmmmmhhhhhh mitz bwana eti gumu..

Hahah..sasa muda unavyoenda ugumu wa kuchomoa bao unaongezeka...

Libolo wanafanya mabadiliko, J Martin mfungaji wa goal anatoka anaingia mchezaji mwingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…