Simba sc vs libolo!

Mibolo unaichezea weye imepanda halafu imejazia Migumu kama ngumi ya Tyson Huyu Malkia wa Nyuki lazima akimbie leo Aende akanywe Gahwa
 
ngasa kapombe na kazimoto wanasumbua sana..

Wanasumbuaje bila kupata magoli? Watu tunataka ushindi tena wa magoli mengi siyo kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala. Mpira magoli mbwembwe hazitusaidii.
 
Naona muda uliobakia hautoshi hata kuku kumeza punje ya ulezi...
 
Kweli nyie mlienda kuimba tarabu warabuni. Mkaludi mmetewa goli1 na libolo
 
Wanasumbuaje bila kupata magoli? Watu tunataka ushindi tena wa magoli mengi siyo kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala. Mpira magoli mbwembwe hazitusaidii.

ndio uwezo wao huo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…