py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Klabu ya soka ya Simba imeyaaga mashindano ya kombe la Mapinduzi baada ya kufungwa goli 1-0 na URA ya Uganda, mchezo huo ulifanyika uwanja wa Aman
Goli la URA lilifungwa na Bebosi Kalama sekunde chache kabla ya mapumziko. URA wanaungana na Azam hatu ya Nusu Fainali
=====================================================
Klabu ya simba yenye kikosi chenye thamani ya Billion 2 kasoro kidogo inaendeleza wimbi la kufanya vibaya huko Zanzibar.
Ikiwa wametoka kupoteza mchezo dhidi ya Azam siku 2 zilizopita muda huu wapo uwanjani wanachuana na URA ya Uganda na "This is simba" wapo nyuma kwa goli 1 lakini jambo lakushangaza bench la simba limepoteana
Mchezaji kichuya kafanyiwa sabu na mwalimu lakini jambo la kustaajabisha nyota huyo katoka kwa hasira nje huku akiwa amefura na akimpita mwalimu wake mithili ya polisi aliyemuona mwizi na kulikacha benchi la ufundi na kusepa zake
Viongozi waandamizi wa Simba sc roho zipo juu wametoka jukwaani na kwenda kutuliza hali ya sintofahamu mpaka muda huu kimenuka hali sio hali ,kichuya haelewi ,bench Ia ufundi limefura ..vita kubwa inaendelea
Viongozi wa simba sc waliotoka jukwaani kwenda kutuliza mambo ila kichuya haelewi ,..wakubwa wanaongea yeye kaweka earphone masikioni
Goli la URA lilifungwa na Bebosi Kalama sekunde chache kabla ya mapumziko. URA wanaungana na Azam hatu ya Nusu Fainali
=====================================================
Klabu ya simba yenye kikosi chenye thamani ya Billion 2 kasoro kidogo inaendeleza wimbi la kufanya vibaya huko Zanzibar.
Ikiwa wametoka kupoteza mchezo dhidi ya Azam siku 2 zilizopita muda huu wapo uwanjani wanachuana na URA ya Uganda na "This is simba" wapo nyuma kwa goli 1 lakini jambo lakushangaza bench la simba limepoteana
Mchezaji kichuya kafanyiwa sabu na mwalimu lakini jambo la kustaajabisha nyota huyo katoka kwa hasira nje huku akiwa amefura na akimpita mwalimu wake mithili ya polisi aliyemuona mwizi na kulikacha benchi la ufundi na kusepa zake
Viongozi waandamizi wa Simba sc roho zipo juu wametoka jukwaani na kwenda kutuliza hali ya sintofahamu mpaka muda huu kimenuka hali sio hali ,kichuya haelewi ,bench Ia ufundi limefura ..vita kubwa inaendelea
Viongozi wa simba sc waliotoka jukwaani kwenda kutuliza mambo ila kichuya haelewi ,..wakubwa wanaongea yeye kaweka earphone masikioni