Simba SC yaachana na Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha

Simba SC yaachana na Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha

Jana nilimcheki try again na mangungu yanavyokenua kubeba muungano nikakasirika mpaka nikawaza ndio maana kuna watu huua bila kukusudia!simba haijawahi kuwa na viongozi wapuuzi na mbumbumbu kwa hawa wawili!
 
kwamba kaenda kumuuguza mkewe sio? na makocha wasaidizi wameenda kumuuguza shemeji yao
 
Ilitarajiwa.........
Kocha hakufirahishwa na timu na mazingira ya kazi,alichotarajia sicho alichokikuta

Kocha pamoja na mapungufu ya Mikia ila nilimnotice kwenye interviews zake,ni mtu asiyejua kuongea kama mzazi kuprotect wachezaji wake.

Yule mwarabu anahasira,anazira zira ovyo,refer mechi aliyobaki mwenyewe kiwanjani.

Binafsi nimemuona si kocha wa kuimarisha na kuinua viwango vya wachezaji,ila ni kocha wa ready made players,refer kwenye rotation ya wachezaji (anatabirika mbinu zake)

Madunduka binafsi nawaunga mkono,angwasumbua sana huyu mwamba,waarabu wanamisimamo sana,hata Nabi alikuwa anavumiliwa tu Jangwani, maana waarabu ni wabishi,hawashauriki na wanajiona sana.

NB: Please Mangungo na Try Again mitano tena,msifanye makosa kuwaondoa

Simba guvu moya 😀
 
20240428_205938.jpg
 
Benchika, pamoja na kuvuta 80m kwa mwezi, hakuna lolote aliloifanyia timu ya simba. Viwango vya wachezaji vilikuwa vinashuka kila siku.
Tunaishukuru simba kwa kumfukuza
 
Hii siku ikabidi atulie kwanza atafakari amefikaje huku🤣🤣 sidhani kama alishawahi kufikiria kwenye maisha yake atakutana na hii hali
View attachment 2975985
Kocha la Makombe likiwa linatafakari kunyakua kombe la muungano
Ilibidi TFF wafikirie haraka haraka kitu cha kubuni ili angalau apate kombe😂
Breaking: Benchika ameachana rasmi na Simba SC baada ya makubaliano ya pande zote mbili.

Pia soma:


----
Kocha mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake rasmi wameachana na klabu ya Simba baada yakufikia makubaliano ya pande zote mbili.

Kwa sasa Juma Mgunda atakuwa Kocha mkuu wa muda kwa Simba na msaidizi wake ni Seleman Matola, Michael Igendia atakuwa kocha wa viungo.

View attachment 2976046
huyu Kocha hana Shukrani, pamoja na jitihada za Simba kumtafutia michuano ambayo walianzia moja kwa moja nusu fainali yeye bado kaamua kuondoka.
 
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mienendo ya Simba ungejua baada tu ya kutolewa na Al Ahly kuwa Simba ilikuwa inaenda kuvunja mkataba na Benchikha. Nafikiri hili niliwahi kucomment sehemu. Kwa mitazamo ya viongozi, wasingeendelea kumlipa kocha milioni 80 akacheze na Kagera Sugar. Ni mfumo uliopo ndani ya klabu ambapo wanapotaka kuachana na Kocha, wako radhi waipige timu shoti katika mechi muhimu ili kuharakisha mchakato.

Utaona Simba itaendelea na hao kina Mgunda hadi msimu ujao utakapokuwa umeanza, hatua za kimataifa mpaka ivuke hatua ya makundi au ifike robo fainali ndiyo utasikia analetwa tena kocha mwingine mkubwa. Save hii comment.
 
Back
Top Bottom