Simba SC yaingia fainali Kombe la Dunia, yapigwa

Simba SC yaingia fainali Kombe la Dunia, yapigwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mnyama Simba SC amepoteza fainali ya kombe la dunia kwa klabu zenye ushawishi mkubwa kwenye mtandao wa Twitter kwa mwaka 2023 dhidi ya wababe wa krikeri kutoka India, RC Bangalore kwa 54% dhidi ya 46% ya kura zote 47,334 zilizopigwa.

Hongereni sana Wana Simba Sc
 
Aibu naona mimi [emoji2960][emoji2960]
JamiiForums-709086720.jpg
 
Mnyama Simba SC amepoteza fainali ya kombe la dunia kwa klabu zenye ushawishi mkubwa kwenye mtandao wa Twitter kwa mwaka 2023 dhidi ya wababe wa krikeri kutoka India, RC Bangalore kwa 54% dhidi ya 46% ya kura zote 47,334 zilizopigwa.

Hongereni sana Wana Simba Sc
Hongereni
 
Mnyama Simba SC amepoteza fainali ya kombe la dunia kwa klabu zenye ushawishi mkubwa kwenye mtandao wa Twitter kwa mwaka 2023 dhidi ya wababe wa krikeri kutoka India, RC Bangalore kwa 54% dhidi ya 46% ya kura zote 47,334 zilizopigwa.

Hongereni sana Wana Simba Sc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom