Simba SC yaipiku Yanga SC kwa kila kitu CAFCL

Simba SC yaipiku Yanga SC kwa kila kitu CAFCL

Acha izoo mkuuu umejuaje je ushawahi kumuona kwa Nini unapenda kudhalilisha wanawake
Mimi mbona namjua huyo vizuri kuwa ni she au umeiandika ili kujifurahisha hapa wewe embu jitahidi kuwa na heshima
Naona unatokwa na povu wakati mwenyewe hata hajakanushwa. Bila shaka humfahamu ila unataka kujifanya mjuaji
 
1.Simba
2.Al Ahly
3.As Vita
4.Al Elmereik
Hawa nao walikuwa vilema UTO.BASI TUMEKUBALI YANGA NI BORA KULIKO TIMU ILIYOINGIA ROBO FAINALI MARA SITA NDANI YA MIAKA SABA
Ukisema rekodi ya kuingia robo hata sisi tumeingia tofauti na rekodi ya mwaka huu 1969,1970,1995,1998.
Wakati huo kwanza nikubali Simba ilikua timu yenye consistency na ubora kiuchezaji wacha niisifie.
Ifuatilie As vita huo mwaka ilikuaje?
El merrikh tunaijua timu ambayo hoe hae 90% huwa inaishia makundi bora hata Al hilal Omdurman.
Mpinzani wako halisi kiubora alikua al ahly pekeake.
Ila tukizungumzia CURRENT PERFORMANCE Simba kuifananisha na Yanga matusi hasa kundi ambalo ninyi mmepangwa na mkapita kwa kusuasua na tizama kundi tulopita sisi.
Ukitizama current performance.
 
Medeama mlimfunga ngapi? Na rank yake ya FIFA ikojee?
Afu nikustue sio FIFA ni CAF. upoo hapoo bwasheee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Medeama hao hao wakicheza na nyie mtawafunga ngapi? Yanga iliwapiga 3 kwa mkapa vipi nyie kwa kiwango Cha timu yenu mngewafunga ngapi? Medeama sio jwaneng kumbuka ilo!
 
Sasa hao mamelody walishawahi tolewa na hawa petro, tena robo final na walifungwa home & away. Unasemaje hapo?

Ukisema current performance hata hawa Asec wako vzur, ndo maana wapo robo sahiv, tofauti na mwaka jana waliishia makundi.
Mhh mkuu mpira we ni mzito kufuatilia.
Asec mwaka jana aliishia nusu fainali confederation cup.
 
umesahau Yanga haijawahi kufika makundi ya CL toka 98 mkuu,........ miaka karibu 26,,,,,

nadhan Yanga wana haki ya kushangilia sana kwenda QF...... hii ni mara yao ya kwanza
Mara ya kwanza ama baada ya muda mrefu??
Rekebisha kauli mkuu sema baada ya muda mrefu zaidi ya miaka 20 ndio tumepita robo tena.
 
Aisee bro ume mistook konyagi from tea!
Tizama kundi alilocheza Yanga na tizama kundi alilocheza Simba.
Yanga hajakutana na mnyonge hata mmoja Al ahly,CRB,Medeama wote hakuna mnyonge.
Simba imeifunga TIMU YA VILEMA JWANENG GALAXY UTAIFANANISHAJE NA BELOUZDAD??
Embu wape heshima yao Yanga.
Kwa hao wachezaji waliopo simba ngojea ikakutane na timu iliyo serious na kucheza halafu tuje tuongee hapa.
Wydad? Asec? Jwaneng hawa ni vibondee? Hivi ni majini uchwara ya Avic town yanawaharibu akili hivyo? Mshageuzwa viti tayariiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukisema rekodi ya kuingia robo hata sisi tumeingia tofauti na rekodi ya mwaka huu 1969,1970,1995,1998.
Wakati huo kwanza nikubali Simba ilikua timu yenye consistency na ubora kiuchezaji wacha niisifie.
Ifuatilie As vita huo mwaka ilikuaje?
El merrikh tunaijua timu ambayo hoe hae 90% huwa inaishia makundi bora hata Al hilal Omdurman.
Mpinzani wako halisi kiubora alikua al ahly pekeake.
Ila tukizungumzia CURRENT PERFORMANCE Simba kuifananisha na Yanga matusi hasa kundi ambalo ninyi mmepangwa na mkapita kwa kusuasua na tizama kundi tulopita sisi.
Ukitizama current performance.
Ukiwa rekodi za kuokoteza jaribu kuficha ujinga 1995 na 1998 mm ni mtú mzima niko chuoni sihitaji kusimuliwa na mtu kwà kuwa nilkuwa najitambua huu upuuzi mwambie Ally Kamwe atafute press conference ili aropoke
 
Watanzania ni watu wa ajabu, badala ya kushangilia kupeleka timu 2 lakini imebaki ni kuzodoana, hizo roho mbaya huwa haziishii kwenye utani huwa zinaenda hata kwenye vitu vya msingi.

Kwani Simba au Yanga imeingia robo fainali Simba imepunkiwa nini au Yanga imepungukiwa nini? Kama kuna mtu alikuwa anatamani Simba isivuke au yanga isivuke roho hizo chafu zitawatafuna hata kwenye mambo ya maendeleo.
Ndivyo tulivyo, ndiyo maana Galaxy walifikia, Avic town Kwenye kambi ya Yanga, maana hawakutaka wenzao waende, ili waonyeshe Tanzania ni wao tu.
Hivyo acha tuzodoane, ili mradi tusitoane macho.
 
Kama kweli unaujua mpira huwezi ifananisha Medeama na Jwaneng.
Medeama ile timu ilimpiga belouzdad mbili kaitizame ile game kesha urudi.
Medeama ina wachezaji wanaonyumbulika,wana tactics,wana kasi,wana fitness ya ajabu pia katikati wako vizuri sehem ya kiungo.
Hii Medeama ingepangwa na simba pangechafuka humo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaa sahivi, pasichafuke na wydad yupoo tena finalist wa AFL na CL, ndo pachafuke na huyo Medeama wako?

Kiti wa jini uchwara wa Avic town, kazi unayo poleeee sanaaa.
 
Hapo ulipo umejaa kinyesi....

Kwahiyo CASABLANCA nao waliotupwa nje ya kundi unawazungumziaje?
Alafu ukute una familia na inakutegemea kwa utopolo huu
Wydad ni timu ambayo ipo katika transition sasa hv kama unavyoizungumzia barcelona.
Wydad ishabadili makocha WATATU ndani ya msimu mmoja.
Hiyo wydad hata Jwaneng kaifunga.
Umekutana na wydad ambayo iko nje ya mfumo.
 
Mhh mkuu mpira we ni mzito kufuatilia.
Asec mwaka jana aliishia nusu fainali confederation cup.
Hata makundi ya CL hakuwepo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bas mwaka huu ndo yuko vizuri, ndo maana yuko robo CL
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaa sahivi, pasichafuke na wydad yupoo tena finalist wa AFL na CL, ndo pachafuke na huyo Medeama wako?

Kiti wa jini uchwara wa Avic town, kazi unayo poleeee sanaaa.
Ndio maana nikakwambia kama wewe ni mtu wa mpira.
Ila bahati mbaya wewe shabiki tu huujui mpira.
Wydad hata jwaneng kaifunga,inamaanisha wydad haipo katika ile consistency yake,wydad sawa na barcelona tu daily kubadili makocha na mifumo.
Mpaka sasa wydad amebadili makocha kama watatu unalijua hilo??
 
Hata makundi ya CL hakuwepo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bas mwaka huu ndo yuko vizuri, ndo maana yuko robo CL
Mwaka jana ASEC MIMOSA alitoka nusu fainali KOMBE LA SHIRIKISHO.
Kufika nusu fainali CAF confederation uko vizuri pia sio kitoto.
Unajua kamfunga nani mpaka kufika nusu?
 
Ukiwa rekodi za kuokoteza jaribu kuficha ujinga 1995 na 1998 mm ni mtú mzima niko chuoni sihitaji kusimuliwa na mtu kwà kuwa nilkuwa najitambua huu upuuzi mwambie Ally Kamwe atafute press conference ili aropoke
Umenikumbusha kauli ya mkuu wa Dar, alisema 1995 wakati Mzee, Mwinyi anastaafu, yeye yuko primary.
Nikagundua kumbe jamaa ni mdogo sana, kwangu ila kwa mwili wangu tukisimama nae yeye ataoneka mzee.
 
Naona unatokwa na povu wakati mwenyewe hata hajakanushwa. Bila shaka humfahamu ila unataka kujifanya mjuaji
Wee ambaye unanifahamu ndo umjuze ili akuelewee, nikanushee akati wee ndo umesema? Yaan useme wee nikanushe mie?
Wana JF bhana, kazi mnayo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
2A
Akili ya mwanaYanga: Belouz kafuzu robo fainali mara tatu sio kibonde, Simba anayefuzu mara ya 5 hii ni kibonde.
Belouzdad nusu kawahi kuingia na ana experience CAF kuliko wewe kolozidad.
 
Ama kwà hakika Mpirà ni mchezo wa wazi,hauna longolongo kwà watu wanaoamini Mpirà ni sayansi.

Ni wiki sasa tangu ule upande wa MAJINI FC ushinde goli zao nne na kupelekea benchi zima la ufundi likiongozwa na msemaji wao Ally Komwe kuzimia na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala 8kutokana na kutoamini kuwa kweli wamefuzu robo fainali au ndoto za Mchana?

Huku wakiwakejeli Simba ambao wamewafikisha mahali walipo hivi sasa.mechi za makundi zimeisha na Timu zote hasimu kutingà robo fainali,huku Simba ikijikisanyia alama 9 na Yanga FC Alama 8

Hata hivyo Simba imekuwa na uwiano wa magoli 7 Kuliko Timu yeyote zilizoshiriki kwenye CAFCL hatua ya Màkundi.Onyo Yanga punguzeni mdomo haya mashindano Simba ni kama kushiriki MAPINDUZI CUP.
Nilidhani unaleta takwimu kumbe hakuna kitu, sasa una utofauti gani na hao wengine unaowakosoa? Tupunguzeni maneno matupu bila takwimu za kitaalam.
Unaanza kwenye kichwa cha habari kuwa Simba imeizidi Yanga kila kitu kutokana na CAF alafu unaanza kupiga porojo.
 
Ndivyo tulivyo, ndiyo maana Galaxy walifikia, Avic town Kwenye kambi ya Yanga, maana hawakutaka wenzao waende, ili waonyeshe Tanzania ni wao tu.
Hivyo acha tuzodoane, ili mradi tusitoane macho.
Hili la kufikia Avic town ni uzushi unaosanbaa kwa kasi, hakuna picha wala video hata moja ikionesha wako Avic town
 
Back
Top Bottom