Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Naona unatokwa na povu wakati mwenyewe hata hajakanushwa. Bila shaka humfahamu ila unataka kujifanya mjuajiAcha izoo mkuuu umejuaje je ushawahi kumuona kwa Nini unapenda kudhalilisha wanawake
Mimi mbona namjua huyo vizuri kuwa ni she au umeiandika ili kujifurahisha hapa wewe embu jitahidi kuwa na heshima
Ukisema rekodi ya kuingia robo hata sisi tumeingia tofauti na rekodi ya mwaka huu 1969,1970,1995,1998.1.Simba
2.Al Ahly
3.As Vita
4.Al Elmereik
Hawa nao walikuwa vilema UTO.BASI TUMEKUBALI YANGA NI BORA KULIKO TIMU ILIYOINGIA ROBO FAINALI MARA SITA NDANI YA MIAKA SABA
Medeama hao hao wakicheza na nyie mtawafunga ngapi? Yanga iliwapiga 3 kwa mkapa vipi nyie kwa kiwango Cha timu yenu mngewafunga ngapi? Medeama sio jwaneng kumbuka ilo!Medeama mlimfunga ngapi? Na rank yake ya FIFA ikojee?
Afu nikustue sio FIFA ni CAF. upoo hapoo bwasheee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mhh mkuu mpira we ni mzito kufuatilia.Sasa hao mamelody walishawahi tolewa na hawa petro, tena robo final na walifungwa home & away. Unasemaje hapo?
Ukisema current performance hata hawa Asec wako vzur, ndo maana wapo robo sahiv, tofauti na mwaka jana waliishia makundi.
Mara ya kwanza ama baada ya muda mrefu??umesahau Yanga haijawahi kufika makundi ya CL toka 98 mkuu,........ miaka karibu 26,,,,,
nadhan Yanga wana haki ya kushangilia sana kwenda QF...... hii ni mara yao ya kwanza
Wydad? Asec? Jwaneng hawa ni vibondee? Hivi ni majini uchwara ya Avic town yanawaharibu akili hivyo? Mshageuzwa viti tayariiii.Aisee bro ume mistook konyagi from tea!
Tizama kundi alilocheza Yanga na tizama kundi alilocheza Simba.
Yanga hajakutana na mnyonge hata mmoja Al ahly,CRB,Medeama wote hakuna mnyonge.
Simba imeifunga TIMU YA VILEMA JWANENG GALAXY UTAIFANANISHAJE NA BELOUZDAD??
Embu wape heshima yao Yanga.
Kwa hao wachezaji waliopo simba ngojea ikakutane na timu iliyo serious na kucheza halafu tuje tuongee hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu.Kijana kachanganyikiwa sana inabidi aje kuomba msamaha kwa Binti wa kingoni hapa
Ukiwa rekodi za kuokoteza jaribu kuficha ujinga 1995 na 1998 mm ni mtú mzima niko chuoni sihitaji kusimuliwa na mtu kwà kuwa nilkuwa najitambua huu upuuzi mwambie Ally Kamwe atafute press conference ili aropokeUkisema rekodi ya kuingia robo hata sisi tumeingia tofauti na rekodi ya mwaka huu 1969,1970,1995,1998.
Wakati huo kwanza nikubali Simba ilikua timu yenye consistency na ubora kiuchezaji wacha niisifie.
Ifuatilie As vita huo mwaka ilikuaje?
El merrikh tunaijua timu ambayo hoe hae 90% huwa inaishia makundi bora hata Al hilal Omdurman.
Mpinzani wako halisi kiubora alikua al ahly pekeake.
Ila tukizungumzia CURRENT PERFORMANCE Simba kuifananisha na Yanga matusi hasa kundi ambalo ninyi mmepangwa na mkapita kwa kusuasua na tizama kundi tulopita sisi.
Ukitizama current performance.
Ndivyo tulivyo, ndiyo maana Galaxy walifikia, Avic town Kwenye kambi ya Yanga, maana hawakutaka wenzao waende, ili waonyeshe Tanzania ni wao tu.Watanzania ni watu wa ajabu, badala ya kushangilia kupeleka timu 2 lakini imebaki ni kuzodoana, hizo roho mbaya huwa haziishii kwenye utani huwa zinaenda hata kwenye vitu vya msingi.
Kwani Simba au Yanga imeingia robo fainali Simba imepunkiwa nini au Yanga imepungukiwa nini? Kama kuna mtu alikuwa anatamani Simba isivuke au yanga isivuke roho hizo chafu zitawatafuna hata kwenye mambo ya maendeleo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaa sahivi, pasichafuke na wydad yupoo tena finalist wa AFL na CL, ndo pachafuke na huyo Medeama wako?Kama kweli unaujua mpira huwezi ifananisha Medeama na Jwaneng.
Medeama ile timu ilimpiga belouzdad mbili kaitizame ile game kesha urudi.
Medeama ina wachezaji wanaonyumbulika,wana tactics,wana kasi,wana fitness ya ajabu pia katikati wako vizuri sehem ya kiungo.
Hii Medeama ingepangwa na simba pangechafuka humo.
Wydad ni timu ambayo ipo katika transition sasa hv kama unavyoizungumzia barcelona.Hapo ulipo umejaa kinyesi....
Kwahiyo CASABLANCA nao waliotupwa nje ya kundi unawazungumziaje?
Alafu ukute una familia na inakutegemea kwa utopolo huu
Hata makundi ya CL hakuwepo? [emoji23][emoji23][emoji23]Mhh mkuu mpira we ni mzito kufuatilia.
Asec mwaka jana aliishia nusu fainali confederation cup.
Watafungwa kuanzia 7 km Horoya vilee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Medeama hao hao wakicheza na nyie mtawafunga ngapi? Yanga iliwapiga 3 kwa mkapa vipi nyie kwa kiwango Cha timu yenu mngewafunga ngapi? Medeama sio jwaneng kumbuka ilo!
Ndio maana nikakwambia kama wewe ni mtu wa mpira.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaa sahivi, pasichafuke na wydad yupoo tena finalist wa AFL na CL, ndo pachafuke na huyo Medeama wako?
Kiti wa jini uchwara wa Avic town, kazi unayo poleeee sanaaa.
Mwaka jana ASEC MIMOSA alitoka nusu fainali KOMBE LA SHIRIKISHO.Hata makundi ya CL hakuwepo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bas mwaka huu ndo yuko vizuri, ndo maana yuko robo CL
Umenikumbusha kauli ya mkuu wa Dar, alisema 1995 wakati Mzee, Mwinyi anastaafu, yeye yuko primary.Ukiwa rekodi za kuokoteza jaribu kuficha ujinga 1995 na 1998 mm ni mtú mzima niko chuoni sihitaji kusimuliwa na mtu kwà kuwa nilkuwa najitambua huu upuuzi mwambie Ally Kamwe atafute press conference ili aropoke
Wee ambaye unanifahamu ndo umjuze ili akuelewee, nikanushee akati wee ndo umesema? Yaan useme wee nikanushe mie?Naona unatokwa na povu wakati mwenyewe hata hajakanushwa. Bila shaka humfahamu ila unataka kujifanya mjuaji
Belouzdad nusu kawahi kuingia na ana experience CAF kuliko wewe kolozidad.Akili ya mwanaYanga: Belouz kafuzu robo fainali mara tatu sio kibonde, Simba anayefuzu mara ya 5 hii ni kibonde.
Nilidhani unaleta takwimu kumbe hakuna kitu, sasa una utofauti gani na hao wengine unaowakosoa? Tupunguzeni maneno matupu bila takwimu za kitaalam.Ama kwà hakika Mpirà ni mchezo wa wazi,hauna longolongo kwà watu wanaoamini Mpirà ni sayansi.
Ni wiki sasa tangu ule upande wa MAJINI FC ushinde goli zao nne na kupelekea benchi zima la ufundi likiongozwa na msemaji wao Ally Komwe kuzimia na kulazwa Hospitali ya Mwananyamala 8kutokana na kutoamini kuwa kweli wamefuzu robo fainali au ndoto za Mchana?
Huku wakiwakejeli Simba ambao wamewafikisha mahali walipo hivi sasa.mechi za makundi zimeisha na Timu zote hasimu kutingà robo fainali,huku Simba ikijikisanyia alama 9 na Yanga FC Alama 8
Hata hivyo Simba imekuwa na uwiano wa magoli 7 Kuliko Timu yeyote zilizoshiriki kwenye CAFCL hatua ya Màkundi.Onyo Yanga punguzeni mdomo haya mashindano Simba ni kama kushiriki MAPINDUZI CUP.
Hili la kufikia Avic town ni uzushi unaosanbaa kwa kasi, hakuna picha wala video hata moja ikionesha wako Avic townNdivyo tulivyo, ndiyo maana Galaxy walifikia, Avic town Kwenye kambi ya Yanga, maana hawakutaka wenzao waende, ili waonyeshe Tanzania ni wao tu.
Hivyo acha tuzodoane, ili mradi tusitoane macho.