GentlemanFulani
New Member
- Aug 27, 2019
- 2
- 3
Japo naamini kuna wenye vigezo stahiki na hawajaomba nafasi hiyo kwa sababu zap zozote, bado naamini Simba ina inahitaji mtu anayeijua kwa undani ili kushika nafasi hii muhimu kwa maendeleo ya timu kama Taasisi. Mwenyezi Mungu akuangazie Senzo. Alipoishi Bwana Magori uanzie na kufika zaidi ya mategemeo.
#SimbaNguvuMoja
#SimbaNguvuMoja