Cha msingi ni kwamba ana CV kubwa kuliko ya zahera
Kusema kweli hapa tumecheza kamali ukilinganisha na profile ya Aussems
Lakini kwa kuwa mpira ni mchezo wa wazi tusubiri tuone ambacho viongozi wameona.View attachment 1289287View attachment 1289289
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha msingi ni kwamba ana CV kubwa kuliko ya zahera
Balaa jingine zito
Kulia Sven kushoto ostazi matola
Izo 5 kavu nami naziona kabisa iyo January cc Shadeeya
Mo yupo kibiashara zaidi kaleta ka albino kengine. Nadhani lengo ni kuja kukafanya kawe kasemaji ka timu baada ya Manara kumaliza muda wake mana mikia wanapenda tusemaji twa dizaini hii.
Ulitaka wamchukue Pep Guardiola? Wasi wasi wa nini?
Timu yenye uwezo mkubwa inashindwa vipi kufuzi Afcon kama Kocha wake si Kilaza?Zambia hawakuweza kuingia kwenye Afcon iliyofanyika Misri lakini timu yao bado ilikuwa na uwezo mkubwa pamoja na kutofanikiwa kuingia Afcon
Aiseeehuyu chalii itabidi asubuhi awe anawaamkia wakubwa zake akina Kagere " shikamoo"
Aiseee,watu mna manenoHuyu jamaa atakuwa kaletwa kimkakati ili baadae aje kuwa msemaji Wa Simba pindi Manara atapoondoka