Simba SC yamtangaza Sven Vander Broeck kuwa kocha mpya akichukua mikoba ya Patrick Aussems

Mbona hata Klabu bingwa bara bado unaanza kuongelea Afrika? Ndio maana tumempa mkataba wa mwaka mmoja, tupate kwanza ubingwa wa bara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali umenisaidia mkuu, unajua hata Patrick Aussems kuna walikuwa wakimpinga kwamba hana plan b kwahivyo kutaka kumrudhisha binadamu ni ngumu sana, hata angekuwa Guardiola wangehoji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…