Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Simba SC ambao ni Mabingwa wa Nchi, leo Desemba 11, 2019, imetangaza Kocha Sven Vander Broeck kuwa kocha mkuu mpya akichukua mikoba ya Patrick Aussems.
Vander Broeck Mbelgiji, amewahi kuifundisha timu ya Taifa ya Zambia pia alishinda ubingwa wa Afrika AFCON akiwa kocha msaidizi katika timu ya Taifa ya Cameroon mwaka 2017.
Klabu ya Simba SC kwenye taarifa yake imesema kwamba, inaamini kocha Sven Vanderbroeck ataleta matokeo chanya na klabu imeahidi kumpa ushirikiano ili kutimiza malengo ya klabu.
This Is Simba SC Next Level.........SimbaNguvuMoja
Vander Broeck Mbelgiji, amewahi kuifundisha timu ya Taifa ya Zambia pia alishinda ubingwa wa Afrika AFCON akiwa kocha msaidizi katika timu ya Taifa ya Cameroon mwaka 2017.
Klabu ya Simba SC kwenye taarifa yake imesema kwamba, inaamini kocha Sven Vanderbroeck ataleta matokeo chanya na klabu imeahidi kumpa ushirikiano ili kutimiza malengo ya klabu.
This Is Simba SC Next Level.........SimbaNguvuMoja