Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
wajiandae na ushuzii...waingie uwanjani wasilete utoto apa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisawajiandae na ushuzii...waingie uwanjani wasilete utoto apa
wanatafuta sababuKutoka tarehe 8 mpka 20 kuna siku 10 hapo kati kati! mbona mda unatosha sana kujiandaa baadae timu ikifungwa zina anza lawama za fitness
Sasa kama ni bora si mcheze mnaogopa nini?
Tunaogopa? Nani kakwambia kuwa Simba inaogopa?Sasa kama ni bora si mcheze mnaogopa nini?
Kwenye hizo timu 16 nitajie moja iliyo pita kwa chupu chupu kama nyieSasa kinachokuwasha nini. Tukutane Group Stage. Hayo magoli mengi yamewasaidia nini?
Hakuna mfugaji bora kwenye Stage za awali. Tunaanzia kuhesabu wafungaji bora kuanzia group stage.
Nyie Yanga bado washamba wa Champion League. Kaeni kwa kutulia EBO
View attachment 2770375
Chupu chupu ndio nini mzee? Yanga miaka 25 imepita ndio mnaingia mwaka huu. Mtawezaje kuwafundisha Simba namna ya kuingia makundi ambao kila mwaka wanaingia?Kwenye hizo timu 16 nitajie moja iliyo pita kwa chupu chupu kama nyie
Kuomba kupumzika ni nini kama sio woga? mechi ya power dynamo mmepumzika siku ngapi na bado mka drawTunaogopa? Nani kakwambia kuwa Simba inaogopa?
Kwenye hizo timu 16 nitajie moja iliyo pita kwa chupu chupu kama nyie
Kupumzika siku hizi tafsiri yake ni uoga nilikuwa sijui. Unatumia kamusi ipi mdogo wangu?Kuomba kupumzika ni nini kama sio woga? mechi ya power dynamo mmepumzika siku ngapi na bado mka draw
Malezi yako mkuu huko utotoni yanajidhihirisha uzeeni pole sana daktari matusi..Mavi debe, wanajambajamba.
CAF wanaipenda SimbaKuomba kupumzika ni nini kama sio woga? mechi ya power dynamo mmepumzika siku ngapi na bado mka draw
Yanga haipo Super League. Hapa wanaongea walio Super Leaguekhaa hii timu imejaa uswahili sana hakuna timu ilikua na ratiba ngumu kama Yanga last season ila sikuwahi kuwasikia wakibweka kuna gemu yanga wametoka ughaibuni wameenda moja kwa moja mwanza kucheza na Ihefu tarehe 20 ni mbali sana acheni ujinga kabisa
Kabla ya kuropoka jifunzeni kwanza kanuni zinazo endesha mpira hio mechi ni ya Singida wana haki ya kukataa au kukubali ombi sababu wapo ndani ya kanuni, sasa bwatuka tu hapo eti haiwahusuHaiwahusu. So waache kupiga kelele.
wanahitaji muda wa siku za kutosha kwenda kuroga. huwajui makolo?Kutoka tarehe 8 mpka 20 kuna siku 10 hapo kati kati! mbona mda unatosha sana kujiandaa baadae timu ikifungwa zina anza lawama za fitness
Kanuni ipi ya TFF, CAF au FIFA inasema hivyo.Kabla ya kuropoka jifunzeni kwanza kanuni zinazo endesha mpira hio mechi ni ya Singida wana haki ya kukataa au kukubali ombi sababu wapo ndani ya kanuni, sasa bwatuka tu hapo eti haiwahusu