Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Pamoja na yote yaliyotokea, kimsingi Simba hawaruhusiwi kugomea mechi. Wanachotakiwa kufanya ni kuwasilisha malalamiko yao kwa Wasimamizi wa Mpira Tanzania ambao ni TFF.Kihoro kinawasumbua simba; wameogopa kichapo. Pamoja na kuwa Uwanja wa mkapa unatumiwa na Yanga pamoja na Simba kama uwanja wa nyumbani, wao siyo wamiliki wa uwanja huo. Mmiliki ni serikali ya tanzania.
Kusema walikuwa mabaunsa wa yanga, ni kisingizioa kischo na mashiko yoyote kisheria.
Woga wa kichapo unawasumbua sana Simba wakati huu..
Hauna TAA! Na jana LUKU iliisha inayotumika kwa ajili ya taa za ulinziKwani lazima wafanye mazoezi hapo? Si wana uwanja wao Bunju? Yanga nendeni uwanjani wasipokuja chukueni Pointi 3 na magoli matatu ili iwe fundisho.
Mtacheza tu na mtakula Chuma nyingi sana leo shenzitaipuNaunga mkono hoja hakuna kucheza na Yanga huu upuuzi ukifumbiwa macho tunatakuwa na mpira wa kihuni,wapelekeni hata FIFA hawa Yanga kule kuna rungu kali sio hawa FFF
Hatuchezi na misukuleMtacheza tu na mtakula Chuma nyingi sana leo shenzitaipu
Mtacheza na mtachezea chuma nyingi mpaka mkome kucheza km mlivyokomaHatuchezi na misukule
fukuza wazee wote walioko simba na yanga, wanafanya nini huko wakati hawachezi mpira? Unakuta timu ina baraza la wazee, hao wazee wanacheza? Wazee wenyewe ni vikongwe hasa pale yanga wamejaa tele, hawa wazee ni washirikina wafurushwe vilabuni ni uchuro mtupu. Sasa kama yanga ina makomando simba haina? Mkono ungepigwa tu, haiwezekani simba iondoke kinyonge uwanjani kisa makomando wa yanga wamewazuia kufanya mazoezi uwanjani hapoSasa simba wanaenda uwanjani saa tatu usiku na vizee vimejaa basi zima. Ni ushirikina tuu serekali inatakiwa iingilie kati hawa simba na yanga wamezidi uchawi.
Simba inafanyiwa figisuKatika taarifa kwa Umma waliyoitoa saa 7 na dakika 46 usiku wa 8/3/2025 klabu hiyo imesema haitoshiriki mchezo huo wa Derby uliopangwa kufanyika majira ya saa 1 usiku 8/3/2025 kutokana na kuzuiliwa kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa na Wanaojiita Makomandoo wa Yanga
Nini maoni yako?
soma zaidiView attachment 3263095
Pia soma:Tetesi: - Simba kugomea mechi kwakuwa hawakuruhisiwa kufanya mazoezi ya mwisho uwanja wa Mkapa
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na...www.jamiiforums.com
Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
Wakuu Ubaya Ubwela umewageukia! Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi Tazama video hii ya tukio husika Mwendelezo: Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya...www.jamiiforums.com
Naomba nisaidie record za Simba na Yanga kutumia uwanja unaotarajiwa kuchezea mechi kwa kufanyia mazoezi ya mwishoSimba hawezi kukatwa pointi kwenye tatizo ambalo ametengenezewa.
Anakatwa point akiwa yeye ndio amevunja kanuni. Hawezi kuwajibika kwenye makosa yaliyofanywa na mtu mwingine.
And by records Simba wapo vizuri kwenye sheria na wanajitahidi sana kuheshimu taratibu za kimpira.
Sitaki kuamini kama wamekuwa wazembe wasione hili uliloliona wewe.
Nmecheka sanaFaida kwa Yanga
simba walitaka kuroga sababu wanaijua yanga isingewaacha salama hivyo baada ya mbinu Yao ya uchawi kufeli wakaona wakimbie mechi🤣🤣🤣🤣Bora mkuu umesema ukweli, mashabiki wenye mihemko mkubwa na Hoya Hoya wanasema kua timu ya Simba imefika saa tatu usiku tena ikiwa na basi limejaa wazee ,, Sasa najiuliza na kipindi huku Kuna simu za kila aina walishindwa nini kudhibitisha hata Kwa video na picha kuonesha basi linaingia saa 3 usiku na picha nyingine waipige ndani ya Basi tukioneshwa hao wazee,,tena tunaambiwa kwa mihemko mkubwa kua walikua wamevaa nguo nyekundu ..kumbe basi linaondoka saa 3 wao ndio wanasema ndio muda walioingia, ujinga mzigo.
Ndio maana Simba wameamua kutoa adhabu kubwa ya kuwatia hasara kubwa wahusikaHili tatizo linatengenezwa na TFF wenyewe kwasababu ya wepesi wa adhabu wanayotoa kwa wakosaji.
Sasa kama sheria ya adhabu inasema faini ni milioni 1 hadi 5.
Kwa Club hizi ambazo mchezaji analipwa zaidi ya milioni 20 basi milion 5 haiwezi kuwa kikwazo wala adhabu ya kuwafanya wajiulize mara mbili pindi wanapofikiria kufanya huu ujinga.
Kama kweli hii imetoka TFF tatizo ni wao na Simba imeonewaVipi kuhusu hii?View attachment 3263114
Nadhani hiyo kanuni haito apply , kama kuna kanuni ilivunjwa about uwanja huo. Hii kitu ttf iite pande zote mbili wakae mezaniKwa wanaojua kanuni endapo Simba isipocheza huo mchezo itaadhibiwaje? Faini, kukatwa point, kushushwa daraja
Na vipi kuhusu Yanga nao?