Bora mkuu umesema ukweli, mashabiki wenye mihemko mkubwa na Hoya Hoya wanasema kua timu ya Simba imefika saa tatu usiku tena ikiwa na basi limejaa wazee ,, Sasa najiuliza na kipindi huku Kuna simu za kila aina walishindwa nini kudhibitisha hata Kwa video na picha kuonesha basi linaingia saa 3 usiku na picha nyingine waipige ndani ya Basi tukioneshwa hao wazee,,tena tunaambiwa kwa mihemko mkubwa kua walikua wamevaa nguo nyekundu ..kumbe basi linaondoka saa 3 wao ndio wanasema ndio muda walioingia, ujinga mzigo.