Maswa Yetu
Senior Member
- Mar 18, 2023
- 155
- 217
Muda wa mazoezi ukoje kulingana na ratiba za matumizi wa uwanja kumbe hata saa 3 usiku unaweza fanya mazoez
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa. Nimeshalisema sana hili, ukiwa na uwezo wa kufikiri utagundua mengi yanayofanyika kwenye football yetu yapo pia kwenye siasa zetu.Soka la Tanzania ni kama CCM na Chadema!
Yaani ni vurugu tupu!
Mabadiliko ya ratiba ya mechi yanapaswa kufanyika saa 72 kabla ya mechi,we saa nne asubuhi kisa timu yenu imepiga ramli na kuona itafungwa,mnabadili ratiba bila sababu za msingiWatu wamelala wakiamka watakutana na hii
Inanikumbusha Mei 8 mwaka 2021 Yanga alisusia mechi tena kwa sababu ambazo ilikuwa ni mabadiliko ya ratiba ya mechi.
Let's see kitachoenda kufanyika.
Una matatizo ya kijinsia weweSimba hawezi kukatwa pointi kwenye tatizo ambalo ametengenezewa.
Anakatwa point akiwa yeye ndio amevunja kanuni. Hawezi kuwajibika kwenye makosa yaliyofanywa na mtu mwingine.
And by records Simba wapo vizuri kwenye sheria na wanajitahidi sana kuheshimu taratibu za kimpira.
Sitaki kuamini kama wamekuwa wazembe wasione hili uliloliona wewe.
TFF wanasemaje? hii barua yaweza kuwa fake!Katika taarifa kwa Umma waliyoitoa saa 7 na dakika 46 usiku wa 8/3/2025 klabu hiyo imesema haitoshiriki mchezo huo wa Derby uliopangwa kufanyika majira ya saa 1 usiku 8/3/2025 kutokana na kuzuiliwa kufanya mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa na Wanaojiita Makomandoo wa Yanga
Nini maoni yako?
soma zaidiView attachment 3263095
Pia soma:Tetesi: - Simba kugomea mechi kwakuwa hawakuruhisiwa kufanya mazoezi ya mwisho uwanja wa Mkapa
Taarifa nilizonazo kutoka Kwa viongozi waandamizi wa club ya Simba ni kuwa katika kikao kilichofanyika usiku huu wamedhamiria kususia mechi Nilipomhoji kuhusu kanuni Kwa timu isiyofika uwanjani ni kukatwa points 3 na magoli 3 pamoja na kushushwa daraja, amejibu kuwa wako tayari Kwa lolote na...www.jamiiforums.com
Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi
Wakuu Ubaya Ubwela umewageukia! Kwa mjibu wa Watangazaji wa EFm Inadaiwa Klabu ya Simba imezuiliwa kuingia Mkapa kufanya mazoezi kuelekea Kariakoo dabi Tazama video hii ya tukio husika Mwendelezo: Kikosi cha Simba, kimeondoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kurejea kambini baada ya...www.jamiiforums.com
Basi Kolokolo wajinga sanaPole hakuna kurudishiwa gharama hiyo imekula kwako
Yanga sio wamiliki wa uwanja wanaingiaje hapo? Walinzi wa uwanja hawakua na taarifa za ujio wa simba jana. Ulitaka wawaruhusu bila taratibu?Kwa wanaojua kanuni endapo Simba isipocheza huo mchezo itaadhibiwaje? Faini, kukatwa point, kushushwa daraja
Na vipi kuhusu Yanga nao?
Asipoingiza Timu akatwe tuSimba hawezi kukatwa pointi kwenye tatizo ambalo ametengenezewa.
Anakatwa point akiwa yeye ndio amevunja kanuni. Hawezi kuwajibika kwenye makosa yaliyofanywa na mtu mwingine.
And by records Simba wapo vizuri kwenye sheria na wanajitahidi sana kuheshimu taratibu za kimpira.
Sitaki kuamini kama wamekuwa wazembe wasione hili uliloliona wewe.
Unacheza vipi bila kutrain kwa zaidi ya masaa 50?mimi shabiki wa simba damu damu.kanuni wanatakiwa waende tff sio kusema kususia mechi.hapo wamefeli
Kwani Yanga wamefanyaje?Maamuzi mazuri sana haya, hii safi upumbavu huu wa Yanga SC sio wa kuuchekea
Taarifa inatokaje TFF wakati pages zao mitandao ya kijamii hakuna hiyo taarifa kama ilivyo kawaida yao?Kama kweli hii imetoka TFF tatizo ni wao na Simba imeonewa
Twende taratibu tu. Nioneshe kwenye hiyo barua inaponeesha kama timu itazuiwa kufanya mazoezi ya mwisho basi igomee kucheza mchezo?Unaelewa ulichoandika? Umeona barua hapo imeanisha kanuni na taratibu ipi imekiukwa?
Ulishawahi hudhuria kesi yoyote?
Huwez toa adhab kwa mshtaki ,wakati huja resolve kesi aliyo present