Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Jina lako linaendana na pumba unazozitoa,angalia tarehe hapo utajua Yanga ilifahamishwa siku ngapi kabla ya match kama kanuni zinavyosemaMechi ya Azam na yanga ilisogezwa mbele mara ngapi?.
HAO walichungulia mechi
Jina lako,avatar na comments zako zinaakisi wewe ndio mvuta bangi unaehitajika mirembeHaya endelea kuvuta BANGI.
Kama viongozi wako wa yanga.
Timu mbovu na bado Wana maamuzi ya kukurupuka
Jina lako linaendana na pumba unazozitoa,angalia tarehe hapo utajua Yanga ilifahamishwa siku ngapi kabla ya match kama kanuni zinavyosema
View attachment 1779727
Jina lako,avatar na comments zako zinaakisi wewe ndio mvuta bangi unaehitajika mirembe
Faida kubwa sana na ndio maana tumenyamaza mmebaki mikia na tff mnatoa maarticle yasiyo na kichwa wala miguuKwa hyo mlivyogoma mmepata faida gani?.
Masaa mawili hayawezi kukuathiri chochote kama ulikuwa UMEJIANDAA
Ushajiita mjinga unadhani utakua na maana tena!Wavuta BANGI NI nyie UTOPOLO.
Mliosusa MECHI kisa muda kusogezwa mbele.
Faida kubwa sana na ndio maana tumenyamaza mmebaki mikia na tff mnatoa maarticle yasiyo na kichwa wala miguu
View attachment 1779733
Ushajiita mjinga unadhani utakua nq mqqnq tena!
Sasa kama huwa nakosea kwanini huwa hunikosoi? unaniogopa? hujiamini, simply umeniona mzuri leo coz nimeandika kilichokupendeza, but am always good in everything.Sometimes huwa unaandika point,huwa nakuchukulia kama kijana asiyejua chochote na aliyejaa good for nothing issues
Hongera kwa hili mkuu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hii umeitoa wapi? I doubt its fake.Faida kubwa sana na ndio maana tumenyamaza mmebaki mikia na tff mnatoa maarticle yasiyo na kichwa wala miguu
View attachment 1779733
Usibishane nao HAWANA AKILIJina lako linaendana na pumba unazozitoa,angalia tarehe hapo utajua Yanga ilifahamishwa siku ngapi kabla ya match kama kanuni zinavyosema
View attachment 1779727
Mkuu kutowapa Simba points zao kwa kweli ni kuwaonea Bigwa huyu wa Afrika Mtarajiwa.Mkuu kumbuka Simba ni club ,ina uongozi wake na haiendeshwi na mihemuko ya klabu nyingine yoyote Ile ....
wacha kila mtu afanye kulingana na falsafa zake na wanachoona wao ni sahihi.kumbuka Simba hawakugomea suala la mabadiliko ya muda ,sasa unataka hayo maswali yako wakaulize ili iwaje?
Wao walileta team uwanjan na hakukuwa na mechi so Wana haki kudai pointi zao tatu mkuu....
Yanga ndo muulize hayo ....na viongozi wenu.
Sababu si walieleza ni agizo toka serikali!?Nadhani waliosogeza mbele, ilibidi watangulie na kutoa sababu ya kufanya hivyo. Sio kutoa tu order as if wanadeal na watoto.