Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Sasa mwenyewe kashakanusha kuwa Hana ushabiki wa Usimba na unyanga wewe unalazimisha nn..? Kama Iko hvyo bac ibaki kuwa perception yako kwani ni lazima kila mtu awe Simba au Yanga...?Mkuu huwa naona comments zako nyingi unasema hauna ushabiki wa Simba na Yanga,
Lakini kwa kukufatilia kwangu wewe ni mwanayanga mzuri tu, sasa sijui huwa unatanguliza kauli za hauna ushabiki wa usimba na uyanga ili upate nini, si useme tu wewe ni Yanga, kwani kuna atakayekuua??
Afadhari umekubali dunia yenyewe ilikubali goli lahayati Maradona[emoji23][emoji23][emoji23] mmeotea tu nyie mikia
Wala sijakubali , basi tu ni vile mmeotea hiyo nafasiAfadhari umekubali dunia yenyewe ilikubali goli lahayati Maradona
Bado kuna watu wanamwani Shafii Dauda?!
Utopwiiiii?.?
Kolokwinyo uwe na uelewa basi,naona unajibu kwa kupanic!au ndio sababu nafasi ya 6 bora ya kichupli imeshtukiwa!kwa hiyo km kaizer alifeli kwenye ligi ya kwao ndiyo simba ikawa na advantage Sasa wewe lawama zako kwa Simba ni zipi.
Unaongea as if Simba ndiyo sababu ya kaizer kushika nafasi ya Saba au km siyo Simba Kaizer angeingia kumi bora.
Sijaelewa hoja yako ni ipi hapa. Au ndiyo Uzuzu wenyewe.
Utopoloni hakuna mwenye akili.
Wewe hupaswi kuwa upande huo wenye maneno mengi tena unaitwa financial services hahaha kuja unyamani tukutuze utabasam upendeze ufurahi uongeze siku za kuishi. Hz stress za utopwinyoo zinakuharibu huo muonekano wako wa kung'araAchana na sisi bana, siwezi shabikia mikia mna masifa sana, tukutane tar 11, kimoko tu kinawatoshaπ
Utokabwili mwiko nyuma π€£π€£Utopwinyoko
Au ndo ufidiq wenyewe unakubali kiainaWala sijakubali , basi tu ni vile mmeotea hiyo nafasi
Daaah!
Imenishangaza pia, kwenye ule Uzi unaohusu Simba kukataa kuvaa nembo ya GSM alikua akiupiga mwingi sana kwa side ya yanga na akisisitiza " mtake mtavaa msitake mtavaa" [emoji28][emoji28]Mkuu huwa naona comments zako nyingi unasema hauna ushabiki wa Simba na Yanga,
Lakini kwa kukufatilia kwangu wewe ni mwanayanga mzuri tu, sasa sijui huwa unatanguliza kauli za hauna ushabiki wa usimba na uyanga ili upate nini, si useme tu wewe ni Yanga, kwani kuna atakayekuua??
Alichokuwa anakisemea ni ile advantage ya kuanzia raundi ya pili badala ya kuanzia raundi ya awali. Ni kwamba Simba kwa upande wa rank ni ya 16 ila kapata favour ya kuanzia hatua ya pili champions league ni kwasabu kuna timu sita ambazo zipo juu ya Simba, kimsimamo hazikuweza kufuzu kucheza champions league kutokana na kushindwa kushika nafasi ya kwanza au ya pili kwenye ligi zao.View attachment leedrtkrzqgo4jawwrxr(5).pdfkwa hiyo km kaizer alifeli kwenye ligi ya kwao ndiyo simba ikawa na advantage Sasa wewe lawama zako kwa Simba ni zipi.
Unaongea as if Simba ndiyo sababu ya kaizer kushika nafasi ya Saba au km siyo Simba Kaizer angeingia kumi bora.
Sijaelewa hoja yako ni ipi hapa. Au ndiyo Uzuzu wenyewe.
Utopoloni hakuna mwenye akili.
Why calling us "utopwinyo"πππ nacheka sanaa ila acha Yanga iniue sijawahi kuipenda Simba.Wewe hupaswi kuwa upande huo wenye maneno mengi tena unaitwa financial services hahaha kuja unyamani tukutuze utabasam upendeze ufurahi uongeze siku za kuishi. Hz stress za utopwinyoo zinakuharibu huo muonekano wako wa kung'ara
Hahaha, huyu mwamba ni mwanayanga ila anaogopa kuonekana mwanayanga, sasa sijui ndio kutokuiamini timu yake au vipiImenishangaza pia, kwenye ule Uzi unaohusu Simba kukataa kuvaa nembo ya GSM alikua akiupiga mwingi sana kwa side ya yanga na akisisitiza " mtake mtavaa msitake mtavaa" [emoji28][emoji28]
πππWapi utopwinyo. Utokambwili fc ..?
[emoji28][emoji28]Mamamake na hapo naskia imepanda
Hiyo haina shida,ni sawaGreetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa
View attachment 2038385
Ushuzi tu hawa nadhani Babra ndio ameandika huu uchafuEndeleeni na upuuzi wenu,ni kweli Yanga ndani ya hii miaka 4 hakuna tulichofanya mna haki ya kuwa juu yetu ila tulizeni akili basi japo kdg kuweni wafatiliaji sio kudandia dandia tu mambo juujuu mmefanya vizuri hongera zenu ila hampo no.6 muandishi hata kuandika Al ahly hawezi kaandika al ahli bado mnamuamini?View attachment 2038515
umedhihirisha kwamba shule hamna.Skia ww, naweza kuwa na elimu kukuliko alafu uhalisia tu hv vitu hata sinvya kuhitaji elimu hata standard 7 anaelewa michongo.. Mimi hata kama ni Yanga damu sijawahi jisifia kuwa club yangu ni kongwe na ha kihistoria, For now naamini club yangu ni Imara na Inaupiga mwingi kama Rais wangu mam Samia huyo kolos waliomweka namba 6 Hana uwezo wa kuifika Yanga for now na ranks zao wapeleke huko kwenye Viba100.
Naendeleza kukukumbusha tu kesho kutwa kipigo kipo palepale kwa Mkapa.
Nilimuelewa vzr mkuu, tatizo aliandika km vile kuilaumu Simba. Haikustahili. Kwamba km siyo hizo timu kushindwa ktk ligi zao Simba asingeingia. Sasa unajiuliza Simba ndiyo alifanya zishindwe?Alichokuwa anakisemea ni ile advantage ya kuanzia raundi ya pili badala ya kuanzia raundi ya awali. Ni kwamba Simba kwa upande wa rank ni ya 16 ila kapata favour ya kuanzia hatua ya pili champions league ni kwasabu kuna timu sita ambazo zipo juu ya Simba, kimsimamo hazikuweza kufuzu kucheza champions league kutokana na kushindwa kushika nafasi ya kwanza au ya pili kwenye ligi zao.View attachment 2038765