Leo ni Mnyama na Azam FC simba itawakosa wachezaji wake mahili Sunzu na Okwi...

Kadi ya Sunzu haijaisha? Mbona hakucheza mechi mbili? Na Okwi imekuwaje tena?
Walioko uwanjani tunaomba updates.
 
Mechi imeahirishwa sababu ya msiba uliotokea Zenj? Kama ipo mlio uwanjani au pembeni mwa tv/radio tupeni ndogo ndogo tafadhali.
 
ushindi utapatikana tu watabana mwisho goli litaingia.
 
Kadi ya Sunzu haijaisha? Mbona hakucheza mechi mbili? Na Okwi imekuwaje tena?<br />
Walioko uwanjani tunaomba updates.
sunzu alifungiwa mechi tatu baada ya kumpiga kofi mchezaji wa oljoro...okwi yuko na timu ya taifa lake...kipindi cha kwanza kimeisha bado timu hazijafungana...
 
sunzu alifungiwa mechi tatu baada ya kumpiga kofi mchezaji wa oljoro...okwi yuko na timu ya taifa lake...kipindi cha kwanza kimeisha bado timu hazijafungana...

Ahsante. Nina imani Mnyama ataibuka kidedea. tujuze zaidi kuhusu maendeleo ya mechi tafadhali.
 
shija mkina anatoka baada ya kucheza kwa dakika zisizo zidi 10 anaingia uhuru selemani..azam wanatushambulia kweli
 
Ukweli ni upi sasa?? Siyo kawaida ya wanamsimbazi; leteni taarifa kamili jamani!
 
tumepoteza pointi 2 lakini ni afadhali maana tulikuwa tumezidia mechi ijayo sunzu na okwi pengine na mwinyi kazimoto ndani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…