Sunzu ameumia hapa! Anatolewa kwa machela kukimbizwa Bugando
 
simba sasa inamajeruhi wa nne..mwinyi kazimoto,salum machaku, Felex Sunzu, na Amir Mafta
 
Duh>> Hili gemu nimelishuhudia. Huyu mtoto Kapombe anatisha sana! Okwi naye amedhihirisha kuwa ni professional wa ukweli. Hongera myama. Ni mwendo mdundo hadi ubingwa.
 
Tuliwazidi mbinu za kimchezo,kwani haukuona???.Mtizamo wako wewe ukoje,ni kwa nini tuliwafunga??

ofcoz ata me bwana balantanda ile mechi ilinshitua ila sasa watajambia mbele.
moto wa kifuu simba kauwasha
labda waombe po.....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…