Ila SIMBA baada ya kufungwa wamebadilika..timu inacheza sasa!! SIMBA oyeeeeeeeeeeee
 
kwa mchezo huu wanaocheza simba wakukaa wanalinda golini kwao mda wote kipindi cha pili watapigwa hata goli 3 zingine.
 
Tunaombea Mungu simba waweze kusawazisha hili goli
 
Kipindi cha pili kimeanza ESS1:0 Simba agg(1:2)
 
Nyoso amekula nyekundu, hawa warabu wabaya sana kwa fitna!
 
Ilikuwa hivi hivi kwa yanga! Wakamtoa Chuji kwa kadi nyekundu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…