Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
lo ng'ombe wa maskini hawezi kuzaa kwa waarabu
 
leo wametulet down kabisa hasa ile red card.waachezaji wa bongo hawajui kuvumilia hata kwenye mechi mhimu kama hii
 
byeee karibu simba kwenye VPL .mumejitahid na kuonyesha mnaweza kama mkitulia lakini na kutambua kucheza mpira wa fitina
 
Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Okwi ametutaoa kimasomaso dk za majeruhi ESS 3:1Simba Agg 3:3
 
Asante Mungu kwa kusikia dua zetu endelea kuibariki simba ituwakilishe vzri katika mechi zinazofuata
 
Back
Top Bottom