lo ng'ombe wa maskini hawezi kuzaa kwa waarabu
 
Simba wake up comon tunataka goal moja tu
 
leo wametulet down kabisa hasa ile red card.waachezaji wa bongo hawajui kuvumilia hata kwenye mechi mhimu kama hii
 
byeee karibu simba kwenye VPL .mumejitahid na kuonyesha mnaweza kama mkitulia lakini na kutambua kucheza mpira wa fitina
 
Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Okwi ametutaoa kimasomaso dk za majeruhi ESS 3:1Simba Agg 3:3
 
asante sana simba ..mmetuonyesha kuwa mnaweza ...
 
Asante Mungu kwa kusikia dua zetu endelea kuibariki simba ituwakilishe vzri katika mechi zinazofuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…