Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
simba kapakatwa na Boko haramu katika ghala
la Ngano
la Ngano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Crashwise njoo huku kuna hoja za kujibu!
yanga daima mbele nyuma mwiko!Yanga na azam taifa lina wategemea, tulikuwa na timu nne kwenye mashindano na sasa ni 2.
yanga daima mbele nyuma mwiko!
Malii imetolewa! Azam wabaya, one two kama barca. magoli matamu kama ya C. Ronaldo. Boko leo umenitesea vizuri sana huyu golikipa wa magazeti Kaseja. Umpelekee volin akachue mbavu umezinyoosha sana bwana. Eti kisingizio yondani hayupo. duu!
lini mnacheza na APR siku hiyo nitahakikisha nafatilia game..