Crashwise njoo huku kuna hoja za kujibu!

kamanda nipo ni kweli tumefungwa na roho inaniuma kweli lakini ndiyo soka sana sana nashukru wachezaji wangu hawakumpiga refa kama walivyofanya yanga siku walipofungwa na azam kama tulivyofungwa sisi..ni wakati mwafaka sasa kutafuta mfungazi mzuri naona sunzu ameshindwa kufanya kazi ak iliyometa simba
 
Last edited by a moderator:
Beki wa simba wanaachia magoli yanaingia tu kama vile wamepewa rushwa. john boko(adebayor) akafunga mtu goli tatu. hahahahaahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa.....hahahahaahaaaaaaaa.....!!!!. safi sana.
 
Yanga na azam taifa lina wategemea, tulikuwa na timu nne kwenye mashindano na sasa ni 2.
 
Yanga na azam taifa lina wategemea, tulikuwa na timu nne kwenye mashindano na sasa ni 2.
 
Malii imetolewa! Azam wabaya, one two kama barca. magoli matamu kama ya C. Ronaldo. Boko leo umenitesea vizuri sana huyu golikipa wa magazeti Kaseja. Umpelekee volin akachue mbavu umezinyoosha sana bwana. Eti kisingizio yondani hayupo. duu!
 
Malii imetolewa! Azam wabaya, one two kama barca. magoli matamu kama ya C. Ronaldo. Boko leo umenitesea vizuri sana huyu golikipa wa magazeti Kaseja. Umpelekee volin akachue mbavu umezinyoosha sana bwana. Eti kisingizio yondani hayupo. duu!

Kwenye blue ndo alipofikia huyo mnayemuita Tanzania One,hapo kwenye red tusubiri safari ya Rage na Nyange Kaburu kwenda kupeleka rufaa yao Fifa,jinsi Boko alivyokuwa anajitungulia Kaseja hasira za kukimbiwa na Yondani sasa ndo zitakuwa zimezidi maradufu
 
viongozi wa simba acheni kumuingilia kocha,kama mtaendelea na tabia hii mtafungwa mechi zote.ni dhahili kile kikosi hakikupangwa na kocha bali ni idea ya mtu au watu.sikuona sababu ya kumchezesha sunzu wakati mechi zote 4 za kagame kacheza pumba ona sasa kaicost timu leo.
Usajiri wenu sijui kama ulidhamilia kureplace nafasi ya mafisango(rip),yondani na okwi? Au mmesajiri ili mladi mchezaji? Nawashauri muipangue timu yote 2tengeneze simba mpya yenye malengo inayowapa raha mashabiki sio kuharibiana siku kama leo.GLORY GLORY SIMBA S C
 
haiwezekani simba ifungwe goli nyingi hivi, lazima wajomba (yanga) wametia mkono
 
Kufungwa na kufunga ni kawaida kwa timu. Timu zilivyopangwa ni wazi makusudi kabisa ili yanga iibuke kidedea. Mbona mshindi huwa anapangwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…