simba wanamiliki mpira katikati hapa tunawaonyesha hawa kandambili what is football
 
Simba Daaaaamu ya Kweli ni Nyekundu ukiona Njano ujue Usahaa Uchafu huo wa Njano haufai Sie Damu Safi hapa Nyekundu.

kama kusoma hawajui na picha pia hawaoni???
 
May be katika siku ambazo simba imetulia tangu kuanza kwa msimu basi ni leo,no papara no what.
 
huyo jamaa hamna kitu kaka,yanga waliuziwa usiku na kijinga cha moto so hawakumuona vizuri.

Mm nliwaona siku ile pale eapoti wamejazana na kushangilia kumbe wamelamba garasa hahahha na bado lazima watulipe kwa kuiba garasa then tano zinawangoja on the spot hahahhaha
 
Angalia nimepost saa ngapi na goli limesawazishwa saa ngapi.......

Sina kawaida ya kukimbia jukwaa mimi......Timu yangu, ishinde, itoke sare ama ifungwe.........Bala Is Always Here............



Hongera kaka kwa kusawazisha... Ngoja tuwaangalie man city
 
Mi Yanga Bado inashangilia Draw Ndio kipaji chao cha Ushindi Kumbe ni Draw! Sie tupo Juu na tungewafunga jana basi kama kawaida yao wangemfukuza mpaka muokowaji wao kukiwa na mafuriko pale jangwani na ngalawa yake au zingetembea bakora kama kawaida yao.
 
Mm nliwaona siku ile pale eapoti wamejazana na kushangilia kumbe wamelamba garasa hahahha na bado lazima watulipe kwa kuiba garasa then tano zinawangoja on the spot hahahhaha
dogo edo sio kumkimbiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…