Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dakika ya 91 now, bado draw tukitoka hapa na Azam FC
Kweli kabisa mechi ya leo ni MUHIMU SANAAAAA hawa JKT sijui wamepewa pesa na wadau wa Yanga ili wakazeeee
uhuru suleiman kaingia kafanya mabadiliko
kashiriki bao la pili la mgosi kisha kapiga bao kali latatu
mpira umekwisha bado point mbili tuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Aminia wakuu in God we Trust.Mungu yuko pamoja nasi wakuuuhuru suleiman kaingia kafanya mabadiliko
kashiriki bao la pili la mgosi kisha kapiga bao kali latatu
mpira umekwisha bado point mbili tuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Aminia wakuu in God we Trust.Mungu yuko pamoja nasi wakuu
uhuru suleiman kaingia kafanya mabadiliko
kashiriki bao la pili la mgosi kisha kapiga bao kali latatu
mpira umekwisha bado point mbili tuuuuuuuuuuuuuuuuuu
japo nilitamani kuchezea shilingi kwa kutaka ubingwa tuuchukue tarehe 1-04-2010 kwenye uwanja wetu wa taifa dhidi ya mahasimu wetu wasio na hela ya kumlipa kocha wao-young africans
ila natumaini TFF siku hiyo wataleta kombe uwanjani,baada ya mechi nico nyagawa aliinue kombe
Matambo kumbuka Robot aka Invisible ni Mnyama so utani kama huu unaweza pelekea Life Ban shauri yako
braza amini tupo wote those are results
Una maana gani Mkuu? Come on Matambo
Kama nilivyosema milioni 80 tumezitumia vizuri,JKT walikuwa wanazuga wajinga tuu,mambo murua