Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nikimuona Boko ni foward anacheza na timu yangu wala sina pressureKwa Timu ya Simba kuwa na mshambuliaji ambaye dakika tisini hapigi hata shuti Moja GOLINI ni afadhali na Mimi ambaye sijaamua kuitapeli fani ya Mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app