Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Yes, Dogo yupo vizuri.Mkuu mechi ya jana tumecheza vizuri ila tumecheza na timu ambayo msimu huu iko bora sana.
Usajili wetu uko vizuri japokuwa attacking midfield yetu ina shimo.
Nilikwambia Bwalya hawezi kuvaa vizuri nafasi ya Chama pale juu labda Sakho anaonyesha uhai kidogo ila kimo chake kinanipa mashaka sana
Nina hofu kwa kweli. pengo la Chama & Mikisone litatutesa sana!Simba Tuna Nzur Sana Msimu huu.
Mulichokiona jana Ni kwamba Tp Mazembe nao pia Wako Vizur na Wamejiandaa muda mrefu km sis So hata Ingetokea Tumewafunga Tp Mazembe Utopolo Wasingekosa La Kusema.
Ila All in All Tukutane Tar 25 Next Week Ndio Watajua Kuwa Hawajui.
#OneTeamOnedream
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila sina uhakika na Kanoute. Kweli atatufaa yule maana anafanana kiuchezaji na Baraka Majogoro.Yes, Dogo yupo vizuri.
Japo anaonekana ni lazy kwenye kukaba.
Kanoute amenikosha kama ataendelea hivi, basi tumepata mtu.
Mimi nadhani TP Mazembe haikuwa bora ila Sisi ndio tumekuwa dhaifu kidogo. Maana ukiangalia unaona kuwa ubora wetu umepungua kidogo.Mkuu mechi ya jana tumecheza vizuri ila tumecheza na timu ambayo msimu huu iko bora sana.
Mimi naona msimu huu tutapata shida kidogo kimataifa maana tumesajili wachezaji wa kawaida sana. Na kwenye ligi tutaendelea kuonewa sana na Yanga, hebu firia Yanga ya akina Sarpong & fiston waituyumbisha tena tukiwa na wakina Chama & Mikisoni.Mkuu PTER unaizungumziaje game ya jana?
Usajili umeuonaje, vipi tuna nafasi?
Ni kweliMimi naona msimu huu tutapata shida kidogo kimataifa maana tumesajili wachezaji wa kawaida sana. Na kwenye ligi tutaendelea kuonewa sana na Yanga, hebu firia Yanga ya akina Sarpong & fiston waituyumbisha tena tukiwa na wakina Chama & Mikisoni.
Nina wasiwasi na msimu huu kwa kweli maana viongozi wamevuruga vuruga kwenye usajili.
Kama ningekuwa Gomes kesho ningeanza hivi.
1.Manula
2.Kapombe
3.Zimbwe
4.Onyango
5.Wawa
6.Lwanga
7.Banda
8.Kanoute
9.Mugalu
10.Bwalya
11.Sakho
Mfumo 4_2_3_1
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Kwangu mugalu anamzidi bocco, nilishaweka waziOndosha Mugalu weka Bocco
mugalu ananzidi bocco? kwa lipi labda hebu tuambieKwangu mugalu anamzidi bocco, nilishaweka wazi
Vyote, kama forwadmugalu ananzidi bocco? kwa lipi labda hebu tuambie
mugalu alicheza mechi nyingi zaidi msimu uliopta kuliko bocco na alizidiwa magoli na bocco kwenye ligi na champions ligi. mi nimekupa hiyo, toa na wewe data zako acha bla blaVyote, kama forwad
mugalu ndio anaongoza kukosa clear chances kuliko mchezaji yoyote simbaVyote, kama forwad
Na ndio anaongoza kufunga goli nyingi kwenye mechi chachemugalu ndio anaongoza kukosa clear chances kuliko mchezaji yoyote simba
mkuu huekewi. bocco alikuwa injury msimu uliopita, mugalu ndio alicheza kila mechi, ila msimu ilipoisha bocco kaongozaNa ndio anaongoza kufunga goli nyingi kwenye mechi chache
au hufuatilii soka?Na ndio anaongoza kufunga goli nyingi kwenye mechi chache
Una hakika na unachoongea?mkuu huekewi. bocco alikuwa injury msimu uliopita, mugalu ndio alicheza kila mechi, ila msimu ilipoisha bocco kaongoza
Lete namba sio unaongea maneno matupu, mugalu mechi ngapi goli ngapi.au hufuatilii soka?
umemuona mugalu?Lete namba sio unaongea maneno matupu, mugalu mechi ngapi goli ngapi.
Bocco goli ngapi mechi ngapi