Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Mkuu mechi ya jana tumecheza vizuri ila tumecheza na timu ambayo msimu huu iko bora sana.

Usajili wetu uko vizuri japokuwa attacking midfield yetu ina shimo.

Nilikwambia Bwalya hawezi kuvaa vizuri nafasi ya Chama pale juu labda Sakho anaonyesha uhai kidogo ila kimo chake kinanipa mashaka sana
Yes, Dogo yupo vizuri.
Japo anaonekana ni lazy kwenye kukaba.
Kanoute amenikosha kama ataendelea hivi, basi tumepata mtu.
 
Simba Tuna Nzur Sana Msimu huu.
Mulichokiona jana Ni kwamba Tp Mazembe nao pia Wako Vizur na Wamejiandaa muda mrefu km sis So hata Ingetokea Tumewafunga Tp Mazembe Utopolo Wasingekosa La Kusema.
Ila All in All Tukutane Tar 25 Next Week Ndio Watajua Kuwa Hawajui.
#OneTeamOnedream

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina hofu kwa kweli. pengo la Chama & Mikisone litatutesa sana!
 
Yes, Dogo yupo vizuri.
Japo anaonekana ni lazy kwenye kukaba.
Kanoute amenikosha kama ataendelea hivi, basi tumepata mtu.
Ila sina uhakika na Kanoute. Kweli atatufaa yule maana anafanana kiuchezaji na Baraka Majogoro.
 
Mkuu mechi ya jana tumecheza vizuri ila tumecheza na timu ambayo msimu huu iko bora sana.
Mimi nadhani TP Mazembe haikuwa bora ila Sisi ndio tumekuwa dhaifu kidogo. Maana ukiangalia unaona kuwa ubora wetu umepungua kidogo.
 
Mkuu PTER unaizungumziaje game ya jana?
Usajili umeuonaje, vipi tuna nafasi?
Mimi naona msimu huu tutapata shida kidogo kimataifa maana tumesajili wachezaji wa kawaida sana. Na kwenye ligi tutaendelea kuonewa sana na Yanga, hebu firia Yanga ya akina Sarpong & fiston waituyumbisha tena tukiwa na wakina Chama & Mikisoni.

Nina wasiwasi na msimu huu kwa kweli maana viongozi wamevuruga vuruga kwenye usajili.
 
Mimi naona msimu huu tutapata shida kidogo kimataifa maana tumesajili wachezaji wa kawaida sana. Na kwenye ligi tutaendelea kuonewa sana na Yanga, hebu firia Yanga ya akina Sarpong & fiston waituyumbisha tena tukiwa na wakina Chama & Mikisoni.

Nina wasiwasi na msimu huu kwa kweli maana viongozi wamevuruga vuruga kwenye usajili.
Ni kweli

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom