The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Kama umeumia waambie wabadilishe wampe Inonga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuzo ya page za udaku kama oscar oscar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopolo hawana akili,sasa hiyo tuzo ni ya shirikisho la soka la congo???
Mchezaji hata timu ya taifa haitwi hata kwa bahati mbaya,hata wachezaji wa akiba then apewe tuzo ya nchi ...
Utopolooooooooooooooooooooo
[emoji107]Wakuu hii Yanga ni kubwa sana.View attachment 2467623
Eeeh aseeeWana lunyasi mpo Dubai
Tupo serious.Usajili usajili usajili.
Tuwe siriaz katika hili.