The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Duh, mmewafuata mpaka huku?Kwa Yanga hii hakuna namna itabidi msubiri miaka kumi ijayo.
Hamtulii majumbani kwenu? Kila kukicha uko kwenye veranda la jirani yako 😀 .Kwa Yanga hii hakuna namna itabidi msubiri miaka kumi ijayo.
Horoya anafungwa 3Horoya tujuane kabisa, tunazika au tunasafirisha.
[emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]Horoya tujuane kabisa, tunazika au tunasafirisha.