The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Yanga yamuajiri mchambuzi wa mechi kutoka Tunisia. Haya ni mageuzi makubwa ya soka la kisasa Tanzania. Tupo serious na makombe makubwa Africa na inshallah Yanga lazima iwe klabu ya kwanza hapa Tz kuchukua kombe kubwa Afrika.