Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
https://www.jamiiforums.com/members/kasimba123.html
Kituo cha televisheni cha ITV hakikutangaza kabisa mchezo wa watani wa jadi juzi usiku. Hata timu hizo zilipokutana kwa mara ya kwanza na Simba kutoka kidedea, ITV haikutangaza mchezo ule. Nauliza tatizo ni nini, au kwa kuwa mmiliki wa kituo hicho ni mshabiki wa Yanga?
ITV = Mengi = KANDAMBILI = YEBOYEBO = YANGA!
Umenielewa?
Kituo cha televisheni cha ITV hakikutangaza kabisa mchezo wa watani wa jadi juzi usiku. Hata timu hizo zilipokutana kwa mara ya kwanza na Simba kutoka kidedea, ITV haikutangaza mchezo ule. Nauliza tatizo ni nini, au kwa kuwa mmiliki wa kituo hicho ni mshabiki wa Yanga?
Dalani alimtukana Mengi na vyombo vyake vya habari na Mengi akaapa hatatangaza kamwe habari za Simba
Dalani alimtukana Mengi na vyombo vyake vya habari na Mengi akaapa hatatangaza kamwe habari za Simba
Hakuna uhusiano, ina maana ITV walijua kama yanga watafungwa? naweza kukubaliana na aliyesema kuwa kaduguda aliwakataza redio 1 kutangaza mpira wa simba.ITV = Mengi = KANDAMBILI = YEBOYEBO = YANGA!
Umenielewa?
Hakuna uhusiano, ina maana ITV walijua kama yanga watafungwa. naweza kukubaliana na aliyesema kuwa kaduguda aliwakataza redio 1 kutangaza mpira wa simba.