HUBERT MLIGO
Member
- Oct 23, 2009
- 46
- 0
TBC Taifa, Clouds Fm, 100.5 Fm, Radio Tumaini, Praise Power Fm, chanel Ten, TBC1 na nyingine nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Tanzania nzima - Radio One & ITV haidhuru habari za Wekundu zitaendelea kuvuma, Kwanza Radio One inasikika Dar es Salaam na mikoa michache tu haina watazamaji na wasikilizaji nchi nzima kama TBC Taifa na Radio Free Africa zinazosikika na kutangazwa nchi nzima. Nawashauri wakipenda waache kuandika habari za Simba hata kwenye magazeti yao...
" Simba Damu"
" Simba Damu"
Zoom