Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walijihakikishia asilimia 100 wao ni mabingwa mwaka huu wakaanza kuleta maneno ya kejeli kwetu.........Thank God we found Sam Timbe
hakuna kitu kama hiki wewe
Kwani uongo mkuu?????????????
mkuu mistake kubwa sana tulifanya kwenye mechi na JKTmimi nimeumia sana maana nilitengewa chakula tangia jioni nikashindwa kula tokana na presha ya mechi
lakini sasa hivi ndo kabisa sina hamu ya kula japo njaa yaniuma mbaya
hata mtu anaweza kuwa na mgogoro na mke wake sembuse sisi msimbazi. but hayo ni maneno yako tu mkuu Balantanda.
wewe unafikiri hata Mani atawashikilia hadi lini
Pamoja mtani............Kila la heri
Yanga yanga yanga yanga yanga oyeeepole jipangine
Yanga yanga yanga yanga yanga oyeee
Mkuu, hapa kwetu kanuni ni goal difference, hatutumii head to head. Sasa kitakachotokea ni nini? Simba tutamfunga Majimaji 5-0, halafu yanga nao kupitia mobile phones watajua sisi tuna goli 5, kwa hiyo watamwambia John Tegete(baba wa Jery) afanye maarifa na ndipo Toto(makusudically kabisa!!!) wataachia goli 6 na yanga kuwa bingwa kwa goal difference. Then TFF watasema hii haikubaliki, watafuta matokeo na kuipa Azam Ubingwa. Sasa cha ajabu hawatazishusha Simba na yanga daraja.
:bored:
Kwani matokeo yalikuwaje?
mkuu mistake kubwa sana tulifanya kwenye mechi na JKT