Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Wekeni Link basi jamani

Usipende kuwekewa link ndugu yangu, kama kitu kipo online ina maana hata wewe unaweza kukifikia, kama vipi fanya juhdi utuwekee hyo link ingawa hujaspecify ni link ya kitu gani.
 
wakati huu fainali ya taifa cup kipindi cha pili kati ya mwanza na mbeya mpaka sasa bila bila..niko nje ya mada
 
najiandaa kusoma masababu lukuki kwa nini Simba wamefungwa migoli ya haya...zifuatazo lazima zitakuwa sababu za kufungwa
1.Muda wa maandalizi haukuwa unatosha
2.uwanja hatujauzoea
3.walikuwa wanatuzomea sana
4.Refa alikuwa anapendelea
5.Niliingiliwa kupanga timu-Kocha
6.Wachezaji walikuwa wanawaza kuangalia mechi ya barca na man u
 
wakati huu fainali ya taifa cup kipindi cha pili kati ya mwanza na mbeya mpaka sasa bila bila..niko nje ya mada

hahaaaa mkuu umeamua kujihami kabisa ..maana vijana wangeanza kukuuliza source?
 
Ni mechi ya kukamilisha ratiba tu kwani washindi tayari wanajurikana ni waarabu, mechi ya maana leo ni moja tu, Barca na Man utd.

Mashabiki wa ndara utawajua tu, hata mufulira Wanderers walijulikana kuwa wangekuwa washindi miaka ile... Nimesahau na Zamalek.
 
najiandaa kusoma masababu lukuki kwa nini Simba wamefungwa migoli ya haya...zifuatazo lazima zitakuwa sababu za kufungwa
1.Muda wa maandalizi haukuwa unatosha
2.uwanja hatujauzoea
3.walikuwa wanatuzomea sana
4.Refa alikuwa anapendelea
5.Niliingiliwa kupanga timu-Kocha
6.Wachezaji walikuwa wanawaza kuangalia mechi ya barca na man u

Hata mimi nina wasiwasi na chama langu, nje ya uwanja Mwarabu amejipanga vilivyo!
 
Mashabiki wa ndara utawajua tu, hata mufulira Wanderers walijulikana kuwa wangekuwa washindi miaka ile... Nimesahau na Zamalek.

Uzuri wa hii thread itakuwepo hata baada ya mechi, mpira wa kisasa hauchezwi kwa njozi, bali maandalizi wewe jiandae kuangalia fainali ya UEFA hiyo mechi ya cairo tayari matokeo yanajurikana, tusichokijuwa tu ni sababu zipi za kufungwa atakazozileta Msomali Rage.
 
Uzuri wa hii thread itakuwepo hata baada ya mechi, mpira wa kisasa hauchezwi kwa njozi, bali maandalizi wewe jiandae kuangalia fainali ya UEFA hiyo mechi ya cairo tayari matokeo yanajurikana, tusichokijuwa tu ni sababu zipi za kufungwa atakazozileta Msomali Rage.

Ivugaaa..... Njoo braza naonewa huku!
 
umeanza kujitetea kabla ya mechi?

Ni vema kusema mazingira halisi, wakati mwingine inasaidia hata kwenye kupanga mikakati ya ushindi. Lazma ujifahamu ubora na udhaifu wako, na uwe wazi kuliko kuleta ushabiki wa Mwembeyanga wa lazma mtani atukome bila kueleza atatukoma kwa mipango ipi....
 
Ivugaaa..... Njoo braza naonewa huku!

Simba ilipoitoa Zamareki maandalizi makini yalionekana ikiwamo timu kuweka kambi uarabuni, wachezaji wote walikuwa na hali ya ushindi, leo Mgosi alitaka kufukuzwa kwenye timu na wakamkata mashahara, na Juma kaseja hajui hatma yake ndani ya timu, unadhani hao wachezaji ni wapumbavu wa viwango hivyo wakubali leo kupigana kufa na kupona (kufia uwanjani ) kwa ajili ya Simba? anaefikiria Simba itafanya miujiza yoyote leo anajidanganya mwenyewe and you will be dissapointed.
Hakuna tofauti na vituko vya Yanga eti Manji nae kawa Chifu, nchi hii ina mizaha kwelikweli.
 
Kumbe mechi ni leo. Kuna jamaa kutoka Morocco alinambia leo mpira ni dkk 10 tu sSimba atakuwa kararuliwa. I do not believe him, soka ni dakika 90. Tunaomba link wenye nazo.
 
Back
Top Bottom