Asante sana Crashwise.Amri kiemba
Tbc taifa sahivi tunakula zilipendwa.
Hatuna strikers wala midfielders! mpira ukifika katikati unachukuliwa kilaini na waarabu
Wadau hivi nani katoka akaingia Mgosi??
Jamani hii mechi ina marudiano au?
Jamani hii mechi ina marudiano au?
Jamani hii mechi ina marudiano au?
Jamani hii mechi ina marudiano au?
Angalia kupitia hii link inaonyesha vizuri haikatiki: gladiateur_11 on Justin.tv
Simba wakaze buti tu hawa jamaa hawana mpira wa kutisha ila tatizo refa mwarabu mwenzao.