dakika ya 90 simba wamelowa 2-0 safi sana maana kelele zingezidi mtaani
 
Rage yupo atatia tena fitna. kwa kweli hakuna kitu chochote tulichocheza pale ni kuzuiz tu na kukimbia kimbia
 
Simba kapigwa goli la 3 dakika zimesalia kama 2 tu,aibu kweli!
 
Hawa jamaa utadhani walikuwa wameprogram wataanza kufunga dakika za mwisho.
 
Kitu finito simba KAPAKATWA tena jamani. Baba RAGE leta fitna upyaaaaaaaa TUSONGE MBELE!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…