dah bora mazembe angeenda hawa wabongo zero plus
Ahahahaaah!!!hizi timu za bongo ukiwa unafuatilia mechi zao inabidi uwe na vidonge vya kutuliza maumivu pembeni
Yaani wamebana weee wanakuja kuachia dakika za mwisho!!!
Kitu finito simba KAPAKATWA tena jamani. Baba RAGE leta fitna upyaaaaaaaa TUSONGE MBELE!!!