Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Pole kwa Simba kuchapwa,pole pia kwa Man u kuchapwa na Barcelona,nadhani leo hautolala na inavyoonyesha wewe ni mwenyeji wa mkoa wa Mwanza ambao pia leo wamelikosa kombe la Taifa kwa kuchapwa na Mbeya.Pole sana najua leo umelia sana kama kawaida yako.
mbeya ndio kwetu, but match za jana zimesababisha simu zangu ziishiwe charge ghafla