Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
.......Leteni changamoto siyo kujivunia soka la nje.......Mie nilishabikia MESSI:dance:....... presha presha ya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.......Leteni changamoto siyo kujivunia soka la nje.......Mie nilishabikia MESSI:dance:....... presha presha ya nini
Kwa hiyo afumbie macho wakati kanuni zilivunjwa kisa zimevunjwa na timu ya ukanda wetu....ndiyo maana na nchi hii kuendelea ni kazi sana kwa sababu mtoto wa shangazi yako kajenga kwenye uwanja wampira basi unafumbia macho kisa ni mtoto wachangazi au ni kada wa chama chako........usiende mbali kote huko, cha msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa sana mbunge wa (hivi ni Tabora au sehemu za DSM!?) Rage alijua fika kuwa TP Mazembe wana uwezo na simba wasingeweza kufika popote. Badala ya kuwa patriotic na kuiacha timu ya ukanda wetu ikasonga mbele akakubali kutumiwa na 'Northerners", cha ajabu anajiita mzalendo lakini huu ni muendelezo wa kilichotufikisha hapa, we have a long way to go!
usiende mbali kote huko, cha msingi hapa ni kuwa Mheshimiwa sana mbunge wa (hivi ni Tabora au sehemu za DSM!?) Rage alijua fika kuwa TP Mazembe wana uwezo na simba wasingeweza kufika popote. Badala ya kuwa patriotic na kuiacha timu ya ukanda wetu ikasonga mbele akakubali kutumiwa na 'Northerners", cha ajabu anajiita mzalendo lakini huu ni muendelezo wa kilichotufikisha hapa, we have a long way to go!
Mechi iuzwe wapi? nilisema simba ya rage Kimeo sasa mnayaona hadi ataiua kabisa kama hawatamfukuza abaki na sheria zake waje watu wanaotaka simba icheze mpira na siyo maneno
Mkuu, akina Lipumba wanaingiaje hapo?