Ina maana Julio kwisha habari yake, du!!Mzee satelite unayotumia kuangalia iko nyuma kidogo, ni dkk ya 66 (2-0).
ngoma gani umesema? ntakucharaza viboko! ala!! badala ya kuchangilia vya kwetu uachangalia vya watu, weeee!!Hureee afadhali mnyama kafungwa kelele zitulie mtaani,,sie mpira hatuwezi tuelekeze nguvu kwenye ngoma tu
Adui mwombee njaa![TABLE="class: tabulka"]
[TR]
[TD="class: hlavicka, bgcolor: #006699, colspan: 6"]Africa - CAF Confederation Cup[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tabulkatd"]
[TR="class: tmava, bgcolor: #EEEEEE"]
[TD]16:30[/TD]
[TD="width: 10%"]85'[/TD]
[TD="width: 30%, align: right"]DC Motema Pembe[/TD]
[TD="width: 10%"]2-0[/TD]
[TD="width: 30%, align: left"]Simba SC[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Simba wachambia stili waya...
Simba wachambia stili waya...
Rufaa iliyoirudisha Simba mashindanoni haikuwa halali, matokeo yake Wamewasaidia Waarabu tu kuendelea mbele. Vya dhuluma mwisho wake siku zote ni kwa jinsi hiyo. Kateni tena rufaa labda Montema pembe wataenguliwa!!!!!!!!
haya banaRufaa iliyoirudisha Simba mashindanoni haikuwa halali, matokeo yake Wamewasaidia Waarabu tu kuendelea mbele. Vya dhuluma mwisho wake siku zote ni kwa jinsi hiyo. Kateni tena rufaa labda Montema pembe wataenguliwa!!!!!!!!