The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 21
Raja Casablanca walipiga mtu goli 6-0 mpaka CAF wakajuta kwa nini waliweka ahadi ya kutoa fedha kwa kila goli litakalofungwa!
Kumbukumbu nzuri. Yanga kwa kufungwa na waarabu utadhani simba anakula swala vile