Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Ukimuona kuku kwa mganga jua kaponzwa na rangi yake. JS Soura wangevaa rangi nyingine basi angalau adhabu ingekuwa tofauti kidogo. Wameponzwa na rangi ya vyura.
 
Tunawafata wakongo ila habari za waarabu wa misri tunazo

Wanabebwa sana hawa jamaa

View attachment 993210View attachment 993211

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mtalaam ile RED card ilikuwa kuwabeba waarabu na ile penalt yaani ndio upendeleo maana kipa alibana mikono yake hakumgusa mshambuliaji lkn ndio ishakuwa ngoja sie Simba Sc tuende pale Egypt tukajaribu kuleta fujo zetu kama tulizo wafanyia Al Masry na wale wapuuzi wengine sijui ismailia
 
Ni kweli kabisa mtalaam ile RED card ilikuwa kuwabeba waarabu na ile penalt yaani ndio upendeleo maana kipa alibana mikono yake hakumgusa mshambuliaji lkn ndio ishakuwa ngoja sie Simba Sc tuende pale Egypt tukajaribu kuleta fujo zetu kama tulizo wafanyia Al Masry na wale wapuuzi wengine sijui ismailia
Tutawamudu hawa, cha msingi tumewaelewa wapinzani wetu ni watu wa aina gani mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuzungumzie mechi ijayo na AS Vita ya Kongo.
Nawashauri wachezaji wa Simba waende wakacheze mpira na sio kulinda goli kama walivyofanya z
Zambia kwa Nkana.
Ukilinda goli ni lazima kwa mpira wa sasa hivi, unaruhusu adui achezee mpira na akushambulie kila dakika.
Okwi Kagere na Boko wakibaki kule mbele Vita hawatapanda wote watabaki nyuma kuwalinda ili wasiwadhuru.
Vita itacheza mpira wa pasi ndefu, mbio na kasi kwani watakuwa na uchu wa kupata goli la mapema na haraka ili kujihakikishia ushindi.
Simba itawapasa kuchangamka hasa mabeki na viungo ili kudhibiti kasi ya Vita.
Kwa ujumla mpira huo hautahitaji kuzubaa au kutembea uwanjani bali ni mchakamchaka mwanzo mwisho, fanyeni mazoezi ya kuongeza pumzi na kukimbia dakika zote 90.
Mpira utakuwa wa pasi ndefu na wa kasi.
Juuko kama atacheza acheze mpira na sio miguu ya wapinzani wake, pia aongeze kasi, kucheza rafu ni kuzidiwa pumzi na kuchoka, afanye mazoezi ya stamina.
Shabalala asikabie macho, winga wao ana kasi ana na anapiga kross kali golini.
Gyan asijisahau anapopanda mbele arudi haraka kulinda lango na afanya mazoezi ya kuongeza nguvu na kasi.
Mchezo wa Simba na Vita unasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa soka wa dunia nzima kwa sasa, maana wanategemea mchezo murua na wenye upinzani mkubwa kuliko mipambano mingine.
Ni jukumu la wachezaji wa Simba kucheza kwa kujituma zaidi ili kujitangaza kimataifa na kuleta matokeo mazuri ktk timu yao ya Simba.
Kwako Mwalimu Kashasha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuzungumzie mechi ijayo na AS Vita ya Kongo.
Nawashauri wachezaji wa Simba waende wakacheze mpira na sio kulinda goli kama walivyofanya z
Zambia kwa Nkana.
Ukilinda goli ni lazima kwa mpira wa sasa hivi, unaruhusu adui achezee mpira na akushambulie kila dakika.
Okwi Kagere na Boko wakibaki kule mbele Vita hawatapanda wote watabaki nyuma kuwalinda ili wasiwadhuru.
Vita itacheza mpira wa pasi ndefu, mbio na kasi kwani watakuwa na uchu wa kupata goli la mapema na haraka ili kujihakikishia ushindi.
Simba itawapasa kuchangamka hasa mabeki na viungo ili kudhibiti kasi ya Vita.
Kwa ujumla mpira huo hautahitaji kuzubaa au kutembea uwanjani bali ni mchakamchaka mwanzo mwisho, fanyeni mazoezi ya kuongeza pumzi na kukimbia dakika zote 90.
Mpira utakuwa wa pasi ndefu na wa kasi.
Juuko kama atacheza acheze mpira na sio miguu ya wapinzani wake, pia aongeze kasi, kucheza rafu ni kuzidiwa pumzi na kuchoka, afanye mazoezi ya stamina.
Shabalala asikabie macho, winga wao ana kasi ana na anapiga kross kali golini.
Gyan asijisahau anapopanda mbele arudi haraka kulinda lango na afanya mazoezi ya kuongeza nguvu na kasi.
Mchezo wa Simba na Vita unasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa soka wa dunia nzima kwa sasa, maana wanategemea mchezo murua na wenye upinzani mkubwa kuliko mipambano mingine.
Ni jukumu la wachezaji wa Simba kucheza kwa kujituma zaidi ili kujitangaza kimataifa na kuleta matokeo mazuri ktk timu yao ya Simba.
Kwako Mwalimu Kashasha.



Sent using Jamii Forums mobile app
Uchambuzi murua kabisa


naunga mkono hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumefika DRC Mungu tupe nguvu

FB_IMG_1547739138278.jpg
FB_IMG_1547739151723.jpg
FB_IMG_1547739161357.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom